Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,059
- 6,716
Wamemuachia mno mapema sijui wanataka sifa. Yule wangemfungia 3 years
Wanatafuta ushaidi,Hapo siasa itakuwa imeshaingiaSheria zikoje?
Au labda Mimi ushamba bado unanisumbua!
Nijuavyo Mimi ni kwamba, huwezi kukaa Kituo cha Polisi zaidi ya masaa Ishirini na Manne (24).
Ni kwamba mpaka Masaa Ishirini na Manne (24) yakishapita bila wewe kufunguliwa Mashitaka, basi hapo hamna Kesi tena.
Kinachotakiwa ni kwamba ndani ya Masaa Ishirini na Manne (24) uwe umeshapandishwa Mahakamani, na kama kuna Upelelezi wowote unatakiwa uwekwe Mahabusu huku ukiwa tayari umeshapanda Mahakamani.
Sasa hii ya kuwekana Kituoni Siku tatu na Mtu bado hajapandishwa Mahakamani imekaaje?
....Halisikii dawaSikio la kufa,.....
sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Na mimi nimeshangaa alivyomtaja barnaba alafu mbaya zaidi kamchanganya na shilole jamani
wanaingiaga huko kufanya nini?tusimlaumu mchizi hivi vitu siyo mchezo mpaka kuacha
Pole yake.sielewi kwa nini kuacha hii kitu ni ngumu.wengi hurudia kutumia.
Chidi kwa imani yangu kinachoumwa ni spirit being, nafsi yake iko mateka iko kifungoni ni spiritual zaidi, ukimfungia hata ufanye nini atarudia kwa sababu kinachomshikilia bado hakijaachia. Kama alivyosema Mshana jr vitu vingi vinaanzia ulimwengu wa roho ndo tunapata matokeo ulimwengu wa nyama na damu. Binadamu tunavitu viwili , tuna nafsi(roho) na mwili. Chakufanya kwanza ayakatae matendo ya mwili yaliyoleta madhara ya nafsi yake baada ya hapo kuingia kiroho kupambana ili nafsi yake iachiliwe ndipo tutaona matokeo chanya. Hakuna jambo linalomshinda Mungu. Tuliambiwa msinililie mimi zililieni nafsi zenu .....Tatizo la Chid Benz ni moja tu. Anashindwa kujizuia emotions zake hasa akipata hela.
Ukijaribu kuangalia hii histori ya Chid kurudia Madawa ndio unapata picha.
1. Baada ya kupelekwa Rehab na Bab Tale. Alipotoka alitoa ngoma ya Chuma ft Rayvan. Akaanza kushika hela. Emotions za madawa zikamshinda nguvu. Akadondoka.
2.Alipelekwa Rehab ya Siri na Mdau mmoja hivi ambae hakutaka ajulikane. Alipotoka tena akatoa Ngoma ya MUDA ft QChillah. Akaanza kushika hela. Emotions za Madawa zikamshinda.
Akaanguka.
Kwahii picha naona Hatima ya Chid inatakiwa asishike hela mwenyewe. Awe anapewa Mahitaji yake kwa uangalizi maaluma mpaka muda flani upite.
Na hichi kitu Chid Mwenyewe hapendi ndio kisa cha Kugombana na Babu Tale.
sent by Samson Cyper