Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Tuko katika hatua za mwisho za kuanzisha hospitali binafsi katika moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini. Kuna vitu tunataka kuagiza kama CT machine, Echo, vitanda, n.k pamoja na kununua magari mawili moja la wagonjwa na lingine la mkurugenzi. Nilitaka kujua taratibu za kuomba msamaha wa kodi kwa hospitali au kliniki hapa Tanzania. Tafadhali mwenye experience anijuvye.