ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,321
- 41,072
- Thread starter
-
- #141
Sawa sawa mkuu asante kwa maoni karibu tenaNaomba nieleweke kwamba lengo la kisasi ni kuleta uwiano na sio kuleta furaha kwa sababu unaweza kulipa kisasi usipate furaha wala hayo majuto ila kukawa na uwiano wa matukio kwamba alifanyia hivi na mimi nimemfanyia hivi. inabaki hivyo
frequency ya majuto ya ke yatakuwa tofauti na me kwa sababu, huyu ke alikuwa anajaribu kuleta uwiano ambapo alikuwa na option ya kutokufanya hivyo kwahy anapofanya hivyo af ikamuathiri ndo safari ya majuto.
Upande wa huyu me sasa amecheat without any influence yaani kafanya kwa hiari yake kwahy inategemeana
Ni kweli wakati mwingine mambo hua yanajiendesha yenyeweIla mkuu hakuna kitu kibaya kama kumfanyia ubaya mtu asiye na hatia,kisasi chake kinalipwa na nguvu nyingine kabisa ambayo engine wanasema Mungu.
Kwa hiyo sisi kisasi chetu lazima kitimie japo hatukifanyi sisi.
Ahaaa sawa kama ni hivyoHakuna mateso,sema mateso yanabaki kwa mfanya ubaya,anakuwa mtu wa kujistukia TU mkikutana wakati we ushatoka huko muda tu
Hayakuondolei wajibu upi?Mtu aliyekuumiza au kujeruhi kihisia, kiakili au kimwili anaweza kufanya hivyo kwa sababu mbili. Moja kutojua. kwa makusudi-nia, ufundi na maarifa. Mbili kwa kutojua. Kutokuwa makini. Yote mawili hatahivyo hayakuondolei wajibu.
Swali dogo lakini lipo too technical,ngoja nijikakamue kujibu.Ahaaa sawa kama ni hivyo
Vp baado una muanda mwanao kua no 1
Sawa muandae👏Swali dogo lakini lipo too technical,ngoja nijikakamue kujibu.
Bado namuaandaa
Wajibu ni kujua na kujua kufanya jambo bila kukosea. Lazima, katika mazingira mbalimbali kujua jambo lipi bora la kufanya.Hayakuondolei wajibu upi?
Upo sahihi kabisa mtu timamu hua anajua cha kufanya wakati gani na kwaniniWajibu ni kujua na kujua kufanya jambo bila kukosea. Lazima, katika mazingira mbalimbali kujua jambo lipi bora la kufanya.
OkaySawa mkuu
Samahani mkuu naomba kuuliza,mfano umefanyiwa umafia na MTU kama Mh wa awamu ya nne,na wewe sio mwenye hulka ya kusamehe hapo utafanyaje?Upo sahihi kabisa mtu timamu hua anajua cha kufanya wakati gani na kwanini
Huna hulka ya kusamehe si ndio ?Samahani mkuu naomba kuuliza,mfano umefanyiwa umafia na MTU kama Mh wa awamu ya nne,na wewe sio mwenye hulka ya kusamehe hapo utafanyaje?
Nilitaka tu kuongezea kwamba kisasi kinategemea mazingira au aina ya mwonezi.Huna hulka ya kusamehe si ndio ?
Haya angalia position yake
Angalia na wewe position uliyopo je unaweza ku battle nae au ndio majuto mjukuu!
Kwa mantiki hiyo upo sahihi ila kama adui una mmudu usimuachie Mungu😎Nilitaka tu kuongezea kwamba kisasi kinategemea mazingira au aina ya mwonezi.
Kusamehe/kumwachia Mungu huku ni Bora kwa sababu hakubagui
Lakini salama