Msama Group Company ni janga kabisa

Msama Group Company ni janga kabisa

mgonjwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
514
Reaction score
223
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!
 
Group of company???....companies

This is not fear???........fair

Sidhani kama hapa utapata suluhisho la madai yako
 
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!
halafu anajiita mlokole kumbe tapeli mkubwa,ni kama reginald mengi,watumishi wake njaa kali kwa kuwa mishahara midogo,akienda kwenye harambee ya mama salma anatoa milioni mia tano,mama rwakatale ni matatizo,gwajima ni shida,wanatembea na wake za watu,lusekelo anapokea sadaka kwa mpesa,kakobe kesi mahakamani,we must be careful with fake pastors
 
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!
Alex anaishi kiujanja ujanja mjini hapa. Sio ajabu kuwatapeli mishahara
 
Msama,Kama kweli umeokoka Muogope Mungu kama maneno haya mazito ya dhuluma yana ukweli. Bwana akutie nguvu.
 
juzi kati alikuwa kwenye kipindi cha mkasi pale east africa television.The way alivyokuwa akijieleza napata ugumu kuamini kama uzi hauna lengo la kumpaka matope.kama ni kweli Watimizie haki zaowafanyakazi wako.IliMungu azidi kukubariki
 
shutuma za mitandaoni hazifai,.

Hapa ni kuchafuana bure tu, nimesikia na Mh. Mengi naye mumemtaja kwenye huu uzi na kumshushia shutuma zisizokuwa na ushahidi!!

''Tubadilike Jamani''
 
Kama ni kweli siyo powa kabisa. Kama ni za uongo, ukweli utakuwa wazi.
 
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!

Majungu at work
 
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!

Msama anaajiri wagonjwa......?~
 
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!

mi nimempenda sana kumbe anawapiga hadi wahindi, afazali tumepata mtu wa kutulipia kisasi
 
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!

Nafikiri watu wengi mnashindwa kuelewa nini maana ya mshahara kulipwa mwisho wa mwezi. Hii ni calendar ya mshahara na siyo calendar ya kawaida. Kama mwajiri anakulipa mshahara kila tarehe 20 ya mwezi unaofuata, maana yake calendar yako ni kuanzia tarehe ishirini ya mwezi husika hadi tarehe ishirini ya mwezi unaofuata.

Tatizo watu wamekariri, hata kama aliajiriwa tarehe 24 anataka alipwe mshahara wa mwezi huu tarehe 30.

My point: Mtu anaekulipa mshahara kwenye tarehe fixed kila mwezi hakudhulumu, ila calendar yako ya mshahara wa mwezi haifuati calendar yako uloibandika ukutani.
 
Umeajiriwa tar 6 okay calendar yako ni kila tar 6 sasa kwa jamaa alex anakupa tar 38 huko ....do u think is it fair !!!! Au tar 79 jamaa ni nomaa !!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom