mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Alex msama ndugu yangu kumbuka kua wema uanzia nyumbani wazungu wanasema "charity begins at home" unachofanya ni kizuri kutoa sana kwa jamii misaada but kwanini mishahara ya wafanyakazi wako mpaka tar 70 !!! Kiukweli si vizuri ...pia ukionekana mtu unahoji sana kuhusu mishahara!! Unafukuzwa kazi!!! This is not fear kabisa!!! Kulikua na muhindi pale kwa msama upande wa production ni mchapakazi mzuri tu....but kaachishwa kazi kisa kudai haki yake ya mshahara !!!! Hamna mfanyakazi ambae aidai kampuni coz mshahara wa mwezi wa february unalipwa march!!!!!!! WE ALEX MSAMA WEMA UANZIA NYIMBANI SIKU ZOTE !!!!!