sambamasengo
New Member
- Mar 10, 2014
- 2
- 0
Tanzaniaa eh Tanzania eheeeh tumekwisha kila mahali kisiasa, kiuchumi, kijamiii, kimaadili, kiaakili, kiujinga , kiujanja, kiupumbavu the 8ks!!!
Kwa Mengi ni kweli mkuu.Amewadhulumu wengi sana.shutuma za mitandaoni hazifai,.
Hapa ni kuchafuana bure tu, nimesikia na Mh. Mengi naye mumemtaja kwenye huu uzi na kumshushia shutuma zisizokuwa na ushahidi!!
Huyu msama ndo yule aliyekuwa kwenye mkasi juzi juzi?
Ndo huyo huyo.
ndio nani huyo?
Njooni niwaajiri mimi!!!
Kampuni zake zinahusika na nini huyo Msama?
halafu anajiita mlokole kumbe tapeli mkubwa,ni kama reginald mengi,watumishi wake njaa kali kwa kuwa mishahara midogo,akienda kwenye harambee ya mama salma anatoa milioni mia tano,mama rwakatale ni matatizo,gwajima ni shida,wanatembea na wake za watu,lusekelo anapokea sadaka kwa mpesa,kakobe kesi mahakamani,we must be careful with fake pastors
Njooni niwaajiri mimi!!!
ndio nani huyo?
Msama anaajiri wagonjwa......?~
Huyu msama ndo yule aliyekuwa kwenye mkasi juzi juzi?