Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Katika Maisha tunapitia mengi sanaa ila kuna mengine yanakuweka katika wakati mgumu hadi kufikia hatua ya kuona Mtihani huo ndio Mkubwa na haitokuja kutokea mwingine kuuzidi.
Nilipita na mtoto wa Anko, alikua mzuri kiasi kwamba sikuweza jizuia, alikua mwoga sana hata kuongea na mwanaume, Nafasi pekee ilikua kwangu, Tulikua age moja, Tukafanya yetu tukamaliza, kumbe alikua kwenye Siku zake za hatari banaa, Mwezi unakata haoni siku zake.
Alikua shule ya boarding hizi za St Mary's, akatafuta simu akanipigia kupitia namba ya shule tunatumia kuwasiliana yeye alikua hajui kua ile namba ni official kwa ajili ya wanafunzi akajua ni ya mshkaji. Nikaitwa, ya kua kuna simu kutoka kwa ndugu yako, Baada ya mda akapiga, Nilipokea mbele ya Mwl nikijua hamna shida ile napokea tuu ananiambia nina ujauzito.
Paaap, nikajaaa wenge, Kukata siwezi, kuongea siwezi maana wapo hapo, nikabaki najizungusha tuu pale, nikaona isiwe tabu nikamwambia pole sanaa, nikakata simu, nikaandika ile namba kwenye kiganja nikampa simu mwenzangu mwingine nikakimbilia haraka kwa mpishi kuomba simu, nikampigia,
Kumbe Sasa yeye alipoona nimemwambia pole na nikakata simu, akajua sijaelewa, na anajua simu ninayo, akatuma msg " Mimi .........nina ujauzito". Kwahio msg imebaki kule, ile ananiambia tuu hivyo, kwa mara nyingine tena chaap nikakata simu ili nirudi kule kucheki kama hakijasanuka niombe fasta nifute msg, kufika mda wa kupokea simu umeisha wana wote washasepa Simu ishapelekwa kwa Sista.
Kurudi kwa mpishi angalau nimtafute tuongee vzr ananiambia namba za wanafunzi hua anafuta ukimaliza tuu, Daaadeki hapa sasa ndio tumbo la kuhara likaanza, kule shuleni kwao atatafutwa mwenye mimba(kila baada ya miezi kadhaa hua wanapimwa ujauzito), mimi,
huku shule kwetu taarifa ya kujaza mtoto wa watu, nyumbani Kuachilia mimba tuu, kutembea na mtoto wa anko ni mada nyingne.
Serikali nako kumpa mimba mwanafunzi.
Kila mazingira niliyokua nawaza nilikua naona kabisa sichomokii, hata kama shuleni wasipogundua mapema, Msg itaonekana, hata isipoonekana, akirudi home atajulikana. Nikiwaza Mawasiliano nimepoteza, Kumbuka wakati nakata simu kwa mpishi nilimwambia kua ile simu ni ya ofisi hivyo hawezi piga tena, na kwa mpishi kabla sijakata nilimwambia usipige nitakupigia hii simu si salama..., Kwahio suala la yeye kupiga hilo halipo tena, Na wakati naongea naye alikua anasikika kwa sauti ya kulia, nikiwaza hapo ndio nachoka.
Nikaongea na Mwl flani nikamwambia naomba unitaftie Mwl yoyote wa shule flani anitaftie ndugu yangu anasoma pale kuna jambo niongee naye, Nikampata, kabla ya yote nikamwambia nitumie namba ya haraka na salama mimi kumpata mda wowote, na mimi nikamtumia ya mdau flani hivi.
Basi tukajifanya tunasalimiana pale, nikakata simu akatuma namba kwenye msg na mimi nikatuma nikaandika kwenye Diary, nikasepa..
Baadae akanitafuta, nikamtuliza, inshu tunafanyaje, option ya kuitoa kila mtu anaogopa kumuanza mwenzake, inshu ikaja tumbambikie mtuu, mtihani ni hivii unambambikiaje mtuu nakati hata hamjawahi kutana(mimi ndiye niliyemla pekee).
Sasa kuna walimu walikua wanamsumbua sana pale, nikamwambia kama vipi mpe mmoja wapo. Kabla ya kufikia muafaka mawasiliano yakakata, baada ya siku hio hamna tena mazingira ya kuongea na simu maana kote mitihani ilikua inaanza, Inshu ikawa kule kwa sista, hapo nawaza ya kua washajua wanasubiri tuu siku tunafunga napewa vyangu(ndio kawaida mtu kutimuliwa siku ya kufunga).
Niliishi kwa mateso sijapata ona. Siku Tunamalizia mtihani mshkaji wangu akanifuata yaani simple tuu asijue nateseka akaniambia "we boya ile siku umenipa tuu simu ikaingia msg ya ujauzito nikaifuta jamaa umezidi" Nikasimama, nikamuuliza nilichosikia ni kweli au wenge?
Yule ndugu Sijawahi msahau mpaka leo hii. Baada ya ups and downs nyingi Sijui ni miujiza gani, dogo mwezi uliofuatia akapata siku zake. Kuna mambo mengine mengi ila hili ni mojawapo. Ilaa daah watu hatukomii, mtu unaapa kabisa kama hili likipita sitarudia, ila kesho kesho kutwa unarudia.
Share
Nilipita na mtoto wa Anko, alikua mzuri kiasi kwamba sikuweza jizuia, alikua mwoga sana hata kuongea na mwanaume, Nafasi pekee ilikua kwangu, Tulikua age moja, Tukafanya yetu tukamaliza, kumbe alikua kwenye Siku zake za hatari banaa, Mwezi unakata haoni siku zake.
Alikua shule ya boarding hizi za St Mary's, akatafuta simu akanipigia kupitia namba ya shule tunatumia kuwasiliana yeye alikua hajui kua ile namba ni official kwa ajili ya wanafunzi akajua ni ya mshkaji. Nikaitwa, ya kua kuna simu kutoka kwa ndugu yako, Baada ya mda akapiga, Nilipokea mbele ya Mwl nikijua hamna shida ile napokea tuu ananiambia nina ujauzito.
Paaap, nikajaaa wenge, Kukata siwezi, kuongea siwezi maana wapo hapo, nikabaki najizungusha tuu pale, nikaona isiwe tabu nikamwambia pole sanaa, nikakata simu, nikaandika ile namba kwenye kiganja nikampa simu mwenzangu mwingine nikakimbilia haraka kwa mpishi kuomba simu, nikampigia,
Kumbe Sasa yeye alipoona nimemwambia pole na nikakata simu, akajua sijaelewa, na anajua simu ninayo, akatuma msg " Mimi .........nina ujauzito". Kwahio msg imebaki kule, ile ananiambia tuu hivyo, kwa mara nyingine tena chaap nikakata simu ili nirudi kule kucheki kama hakijasanuka niombe fasta nifute msg, kufika mda wa kupokea simu umeisha wana wote washasepa Simu ishapelekwa kwa Sista.
Kurudi kwa mpishi angalau nimtafute tuongee vzr ananiambia namba za wanafunzi hua anafuta ukimaliza tuu, Daaadeki hapa sasa ndio tumbo la kuhara likaanza, kule shuleni kwao atatafutwa mwenye mimba(kila baada ya miezi kadhaa hua wanapimwa ujauzito), mimi,
huku shule kwetu taarifa ya kujaza mtoto wa watu, nyumbani Kuachilia mimba tuu, kutembea na mtoto wa anko ni mada nyingne.
Serikali nako kumpa mimba mwanafunzi.
Kila mazingira niliyokua nawaza nilikua naona kabisa sichomokii, hata kama shuleni wasipogundua mapema, Msg itaonekana, hata isipoonekana, akirudi home atajulikana. Nikiwaza Mawasiliano nimepoteza, Kumbuka wakati nakata simu kwa mpishi nilimwambia kua ile simu ni ya ofisi hivyo hawezi piga tena, na kwa mpishi kabla sijakata nilimwambia usipige nitakupigia hii simu si salama..., Kwahio suala la yeye kupiga hilo halipo tena, Na wakati naongea naye alikua anasikika kwa sauti ya kulia, nikiwaza hapo ndio nachoka.
Nikaongea na Mwl flani nikamwambia naomba unitaftie Mwl yoyote wa shule flani anitaftie ndugu yangu anasoma pale kuna jambo niongee naye, Nikampata, kabla ya yote nikamwambia nitumie namba ya haraka na salama mimi kumpata mda wowote, na mimi nikamtumia ya mdau flani hivi.
Basi tukajifanya tunasalimiana pale, nikakata simu akatuma namba kwenye msg na mimi nikatuma nikaandika kwenye Diary, nikasepa..
Baadae akanitafuta, nikamtuliza, inshu tunafanyaje, option ya kuitoa kila mtu anaogopa kumuanza mwenzake, inshu ikaja tumbambikie mtuu, mtihani ni hivii unambambikiaje mtuu nakati hata hamjawahi kutana(mimi ndiye niliyemla pekee).
Sasa kuna walimu walikua wanamsumbua sana pale, nikamwambia kama vipi mpe mmoja wapo. Kabla ya kufikia muafaka mawasiliano yakakata, baada ya siku hio hamna tena mazingira ya kuongea na simu maana kote mitihani ilikua inaanza, Inshu ikawa kule kwa sista, hapo nawaza ya kua washajua wanasubiri tuu siku tunafunga napewa vyangu(ndio kawaida mtu kutimuliwa siku ya kufunga).
Niliishi kwa mateso sijapata ona. Siku Tunamalizia mtihani mshkaji wangu akanifuata yaani simple tuu asijue nateseka akaniambia "we boya ile siku umenipa tuu simu ikaingia msg ya ujauzito nikaifuta jamaa umezidi" Nikasimama, nikamuuliza nilichosikia ni kweli au wenge?
Yule ndugu Sijawahi msahau mpaka leo hii. Baada ya ups and downs nyingi Sijui ni miujiza gani, dogo mwezi uliofuatia akapata siku zake. Kuna mambo mengine mengi ila hili ni mojawapo. Ilaa daah watu hatukomii, mtu unaapa kabisa kama hili likipita sitarudia, ila kesho kesho kutwa unarudia.
Share