Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,559 142,339 Nov 10, 2019 #21 Inasikitisha sana... Ina maana kwamba waliyokosea kujaza fomu ni wapinzani, tu ila wa chama tawala wote wamejaza kil kitu vizuri... Kitu ambacho siyo kweli... Cc: mahondaw
Inasikitisha sana... Ina maana kwamba waliyokosea kujaza fomu ni wapinzani, tu ila wa chama tawala wote wamejaza kil kitu vizuri... Kitu ambacho siyo kweli... Cc: mahondaw
Erythrocyte JF-Expert Member Nov 6, 2012 117,802 218,449 Nov 10, 2019 #22 Hivi watu kama hawa wanapataje vyeo ?