Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Msajili wa Vyama anastahili sifa - Mwigamba

Greenwhich

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,337
Reaction score
968
Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini.Amesema anaamini msajili ataendelea kumpa ushirikiano mpaka pale Chadema watakapokuwa katika mstari.

Souce:UHURU


Wenye mamlaka na Katiba ya CHADEMA ni Chadema wenyewe kupitia vikao hasa Mkutano Mkuu.

Chadema itaendelea kuendeshwa kwa umakini wa kuzingatia misingi ya chama hasa Katiba ya Chama.

Chadema haiwezi kuendeshwa kwa ushauri wala kauli zisizo na msingi wowote kutoka kwa Msajili.

Kama CCM na vibaraka wao wanamuogopa Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Slaa, wanastahili pole.

Wenye kujua yupi ana sifa za kugombea na yupi hana, ni wanaCHADEMA kupitia vikao vyao vya Baraza Kuu na Mkutano Mkuu.

Eti kiongozi wa chama kinachojaribu kujionesha kuwa cha upinzani, ananukuliwa kwenye Gazeti la CCM akijivuna kupambana na Chama Kikuu cha Upinzani nchini, kisha mtu huyo huyo na wenzake wakiambiwa wanafanya kazi ya CCM wanang'aka! What a controversy.

Hii nayo ni facts zaidi
 
Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini

Source:UHURU Jumatano
 
Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini

Source:UHURU Jumatano

Eti naskia wewe sii riziki??
 
Ccm changeni karata zenu vzr,hamtakuwa na wakumlaumu siku za mbele kama mambo hakienda ndivyo sivyo kwani mamluki hawa price tag zao zinajulikana.....
 
Dr Slaa endelea kujenga chama chako hasa uko vijijini, pia endelea kuimiza kanda zote nchini kuimarisha chama hasa CHADEMA ni msingi achana na hao wasanii wa siasa za kuongwa na kukwapua. CHADEMA ni tumaini kwa watu wengi sana hasa vijana na taget ni kushika dola huyo Mwigamba na wenzake hawana hata matumaini ya kupata wabunge wawili sisi tunaangaka nao, ebu tuangaike na taabu za raia wetu kuliko hao walio shiba fedha za udhalimu.
 
Ccm changeni karata zenu vzr,hamtakuwa na wakumlaumu siku za mbele kama mambo hakienda ndivyo sivyo kwani mamluki hawa price tag zao zinajulikana.....

Na ndiyo maana hata habari zake anazitoa Uhuru
 
Katibu Mkuu ACT Samson Mwigamba ameibuka na kutoa pongezi rasmi kwa Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kwa uamuzi wake dhidi ya Chadema.

Mwigamba amesema uamuzi wa Msajili ni Faraja kwake na ni ushindi mkubwa kwani mashtaka hayo aliyapeleka yeye.

Akizungumza jana Mwigamba alisema uamuzi wa msajili kutotambua mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2006 ya Chadema ni wa kuungwa mkono na kila mpenda demokrasia nchini.

Mwigamba ameonya ingawa yuko nje ya Chadema lakini ataendelea kuibua kila udhaifu ndani ya Chadema na anaamini msajili atafanyia kazi kwa maslahi mapana ya demokrasia nchini

Source:UHURU Jumatano
aitambue au asiitambue hiyo haituhusu sisi Chadema, Chadema aliikuta imesajiliwa na Hayati Liundi, tukabadilisha katiba 2006, Tendwa akaisifia

Na kitu cha ajabu, hatukuandika katiba kwa ajili ya msajili aipende au asiipende, tuliandika katiba kwa ajili ya wanachadema, na waliikubali.
 
Mwigamba ameathirika na stroke iliyompata baada ya "M" zake na Kitila kugundulika! Itamchukua muda kutoka kwenye koma!
 
anadeni hajamaliza kazi ya watu ya kuichafua chadema lazima achanganyikiwe na cdm cdm ni mipango ya Mungu
 
sasa hapo hao wanaojiita ACT ndo wanapaswa kutumia akili na kugundua kuwa hichi chama ni wing ya CCM officially.
 
Wenye mamlaka na Katiba ya CHADEMA ni Chadema wenyewe kupitia vikao hasa Mkutano Mkuu.

Chadema itaendelea kuendeshwa kwa umakini wa kuzingatia misingi ya chama hasa Katiba ya Chama.

Chadema haiwezi kuendeshwa kwa ushauri wala kauli zisizo na msingi wowote kutoka kwa Msajili.

Kama CCM na vibaraka wao wanamuogopa Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Slaa, wanastahili pole.

Wenye kujua yupi ana sifa za kugombea na yupi hana, ni wanaCHADEMA kupitia vikao vyao vya Baraza Kuu na Mkutano Mkuu.

Eti kiongozi wa chama kinachojaribu kujionesha kuwa cha upinzani, ananukuliwa kwenye Gazeti la CCM akijivuna kupambana na Chama Kikuu cha Upinzani nchini, kisha mtu huyo huyo na wenzake wakiambiwa wanafanya kazi ya CCM wanang'aka! What a controversy.

Hii nayo ni facts zaidi
 
Na ndiyo maana hata habari zake anazitoa Uhuru

Kutumika kubaya sana,kama alishindwa kutunza siri ya kuwa na ule waraka wa mabadiliko mpk ukaja kushikwa umakini wake nautialia shaka sana

Huyu ni mzuri kwa matumizi ya papo kwa hapo ila ya badaye hafai
 
Mwacheni amtumikie bwana wake ccm kwa hivi vijikauli vya kipumbafu ambavyo ni magazeti ya kijinga tu kama uhuru,mzalendo na jambo leo yanayoweza kuandika.CDM ni kisiki cha mpingo hakiwezi kutetereka na kauli za mlevi mganga njaa kama yeye!
 
Wenye mamlaka na Katiba ya CHADEMA ni Chadema wenyewe kupitia vikao hasa Mkutano Mkuu.

Chadema itaendelea kuendeshwa kwa umakini wa kuzingatia misingi ya chama hasa Katiba ya Chama.

Chadema haiwezi kuendeshwa kwa ushauri wala kauli zisizo na msingi wowote kutoka kwa Msajili.

Kama CCM na vibaraka wao wanamuogopa Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Slaa, wanastahili pole.

Wenye kujua yupi ana sifa za kugombea na yupi hana, ni wanaCHADEMA kupitia vikao vyao vya Baraza Kuu na Mkutano Mkuu.

Eti kiongozi wa chama kinachojaribu kujionesha kuwa cha upinzani, ananukuliwa kwenye Gazeti la CCM akijivuna kupambana na Chama Kikuu cha Upinzani nchini, kisha mtu huyo huyo na wenzake wakiambiwa wanafanya kazi ya CCM wanang'aka! What a controversy.

Hii nayo ni facts zaidi

Asante sana Tumaini Makene kwa ufafanuzi mzuri.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom