Msaidieni rafiki yangu, maisha magumu

Msaidieni rafiki yangu, maisha magumu

King snr

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
1,165
Reaction score
1,474
Habari zenu JF
Nina rafiki yangu katoka mkoani kaja Dar kutafuta maisha yani anapata tabu sana sababu hana kazi na ukiangalia hata sehemu ya kulala ni ya kuunga-unga, naombeni anayeweza kumsaidia amsaidie kazi yoyote yeye amesema atafanya. Ana elimu ya form 4, ana umri wa miaka 19-21, Ni mvulana, mwenye nafasi yoyote ile ya kazi hata nyumbani kwake please!

Msaidieni maisha magumu
 
Na ndio maana tunasema hili tatizo litatatuliwa na Edward Lowassa!

mkuu kwanin wew usiwe ndiyo msaada wa kwanza kumsaidia!
 
Anakuja dar kufanya nini na hana cha kufanya? Wewe unafanya nini? Kwanini usijiunge naye! !!?
 
Na ndio maana tunasema hili tatizo litatatuliwa na Edward Lowassa!

mkuu kwanin wew usiwe ndiyo msaada wa kwanza kumsaidia!

mkuu sina nafasi ndio maana nawaomba msaada wenu kama mna nafasi
 
Anakuja dar kufanya nini na hana cha kufanya? Wewe unafanya nini? Kwanini usijiunge naye! !!?

kaja dar kutafta maixh baada ya kumxhnda alkotoka so mwenye uwezo 2 amsaidie mkuu sas ina maana gan kukejel?,maisha hatufanani mkuu
 
Sasa ulimwambia aje mjini kufanyaje kama uwezo wa kumsaidia huna?
 
Sasa ulimwambia aje mjini kufanyaje kama uwezo wa kumsaidia huna?

hapana sijamwambia aje mjini ila yeye baada ya kuja mjini kuna siku niliktana nae nikamjua akanieleza mapito meng xan yalomfanya aje dar,,inatisha mkuu kama una uwezo msaidie tu..Mungu anajua
 
hapana sijamwambia aje mjini ila yeye baada ya kuja mjini kuna siku niliktana nae nikamjua akanieleza mapito meng xan yalomfanya aje dar,,inatisha mkuu kama una uwezo msaidie tu..Mungu anajua

Jaribu kutafta kamtaji kadogo ndugu ili anunue magazeti atembeze, au kariakoo sokoni anunue mifuki ya plastiki kwa kumpa auze reja reja kwa wateja huko sokoni, hapo ndo itakuwa mwanzo WA maisha mengine
 
Mjini hakuna fursa kama unakuja bila malengo. Niliona bandiko humu kuna mtu anatafuta kijana wa kuuza chips labda ulitafute halafu umuunganishe na jamaa
 
kaja dar kutafta maixh baada ya kumxhnda alkotoka so mwenye uwezo 2 amsaidie mkuu sas ina maana gan kukejel?,maisha hatufanani mkuu
kwanini ulimpokea wakati unajua wazi huna uwezo wa kumsaidia hata basic need ya malazi? Achilia mbali hata Kula nako!!
Hivi unajua kuwa huo ni ukatili kwa mwanadamu mwenzio mkuu?
Bora ungemuumiza kwa kumwambia ukweli kuliko kumfurahisha kwa uongo.:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Kama huna kazi usije mjini, huku maji kununua, jua kali usafiri taabu. Chakula huku hupewi bure. Kijijini vyote wapata bure.
 
aende kwenye viwanda atapata vibarua ndani ya wiki! asichague kazi tuu!!
viwandani hko kuna pocblity ya kupata!!!
 
Back
Top Bottom