Hivi thermal paste zinapatikana hapa bongo1. Inawezekana thermal paste imekauka na ku expire, ulivyogusa hio cpu kulikuwa na uji uji juu?
2. Labda cooling solution haigusani na cpu
3.inawezekana pia cpu ipo ok, ni kawaida cpu kufika 80 ama 90C
3000 aggrey kwa mafundi mule unazipataHivi thermal paste zinapatikana hapa bongo
1. Inawezekana thermal paste imekauka na ku expire, ulivyogusa hio cpu kulikuwa na uji uji juu?
2. Labda cooling solution haigusani na cpu
3.inawezekana pia cpu ipo ok, ni kawaida cpu kufika 80 ama 90
Mkuu anza na task manager kwanza, right click taskbar pale chini kisha chagua task manager kipindi laptop inapiga kelele, cpu haija jaa 100%?Samahani kiongozi. Hivi tatizo la laptop kupiga kelele sana linasababishwa na nini? na ipi njia ya kutatua tatizo.
NB: Feni haina vumbi
CPU iko na 23%Mkuu anza na task manager kwanza, right click taskbar pale chini kisha chagua task manager kipindi laptop inapiga kelele, cpu haija jaa 100%?
Kama cpu haiload mpaka mwisho na inapiga kelele pengine ni tatizo tu la ndani la hardware, umeifungua?CPU iko na 23%
Hapana... Nikiifungua inatakiwa nifanye nini?Kama cpu haiload mpaka mwisho na inapiga kelele pengine ni tatizo tu la ndani la hardware, umeifungua?
Unaangalia inaweza kuwa mdudu ameingia, ama vumbi ama tatizo jengine, fungua tu uangalie unaweza pata idea.Hapana... Nikiifungua inatakiwa nifanye nini?
Poa mkuu. Acha kesho nitaifungua, maana sina tools za kufungulia. So mpaka nikanunueUnaangalia inaweza kuwa mdudu ameingia, ama vumbi ama tatizo jengine, fungua tu uangalie unaweza pata idea.