Kiroroma
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 370
- 114
Asubuhi ya leo nikiwa mbele ya kituo cha Polisi Salendar Bridge ulipita msafara wa kiongozi mmoja wa juu serikalini anaenda zake ofisini ulikuwa msusururu wa magari ya kifahari yapatayo sita na pikipiki,Sasa nikajiuliza msafara ni kwa ajili ya wanausalama tuu au ni ufahari fulani?Wana JF nisaidieni hapa.