Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
Samahani nina swali, wote tunajua kuwa msafara wa rais una vitu kama pomp and pajents ambazo uambatana na protokali kama mapikipiki yenye ving'ora na dilplomatic etiquettes zote na hapo sisi raia wa kawaida ushurutishwa kusimama kusubiri na kupisha msafara wa jabali upite.
Swali je, kama kuna ambulance ina majeruhi au mama anayetaka huduma ya haraka kujifungua kwa upasuaji hasife inaruhusiwa kukatiza au hapana?
Maana inaweza kuhatarisha usalama wa jabali ? Sina utaalam katika hili jamani police force kitengo cha traffic na wale wazee wa black suits(tiss ).Msaada please.
Swali je, kama kuna ambulance ina majeruhi au mama anayetaka huduma ya haraka kujifungua kwa upasuaji hasife inaruhusiwa kukatiza au hapana?
Maana inaweza kuhatarisha usalama wa jabali ? Sina utaalam katika hili jamani police force kitengo cha traffic na wale wazee wa black suits(tiss ).Msaada please.