Msafara wa Makonda wapata ajali

Safari ya mwenezi wa chama, magari ya serekali yamo kwenye ajali! Huko kusini ndio dhalimu magu aliona Moshi mweupe, hadi anafariki akawa anakutana na mauzauza. Huko ushirikina ni wa kudumu ndio maana maendeleo ni mtihani.
Alipaogopa sana hata kampeni za 2020 hakwenda huko kabisa
 
Chama kipo juu ya Serikali.

Kwahiyo viongozi wa Serikali hawakupaswa wawepo kwenye Mikutano ya Chama kilichowapa hizo nafasi ?.

Na kama walipaswa kuwepo, ulitaka watembee Kwa miguu?.

Au ulitaka, wawepo ila watumie Magari ya Chama?
Kaka Una hoja nzito Sana.
 
Ahimidiwe Mungu Muweza wa Yote...

Ajali hiyo isiwakatishe tamaa bali iwape nguvu zaidi na iwe ni fursa ya kuwa makini zaidi, lakini pia madereva kuwa mahiri zaidi wawapo barabarani wakiendesha 🐒

hata na hivyo ajali hiyo ichochee ujenzi na uboreshwaji wa miundombinu ya barabara ili iwe imara, bora na yenye kupitika kwa usalama zaidi na uhakika wa safari na misafara 🐒

Yote kwa yote, Mwenyezi Mungu awape ahuweni ya mapema majeruhi wote na wanaoendelea na safari awasimamie wafike Salama..
 
Chama kipo juu ya Serikali.

Kwahiyo viongozi wa Serikali hawakupaswa wawepo kwenye Mikutano ya Chama kilichowapa hizo nafasi ?.

Na kama walipaswa kuwepo, ulitaka watembee Kwa miguu?.

Au ulitaka, wawepo ila watumie Magari ya Chama?
Yeye anatakiwa asikilize kero za wananchi apeleke ripoti kwenye mamlaka husika ndani ya chama chake ambae ni mwenyekiti wa chama baada ya hapo huyo mwenyekiti ambae ni Rais ashushe maelekezo kwa watendaji na siyo kutumia rasilimali za serekali kwenye shughuli za chama hayo ni matumizi mabaya ya mali ya umma
 
Mungu ni mwema, tunashukuru kama hakuna aliyepoteza uhai.
Mungu aendelee kumlinda #Makonda.
 
Gharama ya boneti moja tu ya shangingi ni millions of coins bado mifumo mingine ...big loss kwa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…