MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,756
- 6,674
Wanyonge kwako ni sifa eti ee? Wapumbavu kama ninyi ndo mmeifanya hii nchi isiendelee licha ya kupata uhuru zaidi ya miaka 60 iliyopita. Simply watawala wanawatumia wapumbavu kama ninyi kujinufaisha!makonda hatochoka kuipigania nchi hasahasa kwa wanyonge na walalahoi wallah
Alipaogopa sana hata kampeni za 2020 hakwenda huko kabisaSafari ya mwenezi wa chama, magari ya serekali yamo kwenye ajali! Huko kusini ndio dhalimu magu aliona Moshi mweupe, hadi anafariki akawa anakutana na mauzauza. Huko ushirikina ni wa kudumu ndio maana maendeleo ni mtihani.
Narudia tena! Wewe na hao wapuuzi wenzako mnaochezea kodi zetu kwenye mambo yenu ya kipuuzi; mkafie mbali huko! Pumbavu.Wewe ni Lipuuzi kwelikweli , hivi huo uchadema, Huwa mnafunzwa kua wapuuzi tu??.
Kazi gani?. Ya kupumbaza watu kipindi Cha uchaguzi waone CCM ni wema?CHADOMO kwa roho mbaya tu!! Yaan hamufurahishwi kabisa na kazi yake Duh!😔
Ni unafiki kutumia neno haki na makonda kwenye sentesi moja.Pole kwa wahanga, comredi Makonda usikate tamaa watanzania wapenda haki tuko pamoja na wewe
Tecno CF7🤣😂
Kwani nyie mnashindwa nini kuwapumbaza hao watu?Kazi gani?. Ya kupumbaza watu kipindi Cha uchaguzi waone CCM ni wema?
Kaka Una hoja nzito Sana.Chama kipo juu ya Serikali.
Kwahiyo viongozi wa Serikali hawakupaswa wawepo kwenye Mikutano ya Chama kilichowapa hizo nafasi ?.
Na kama walipaswa kuwepo, ulitaka watembee Kwa miguu?.
Au ulitaka, wawepo ila watumie Magari ya Chama?
Ahimidiwe Mungu Muweza wa Yote...Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
View attachment 2900908
Na sisi ni watanzania.Sisi ni wasukuma.
Ataondoka tu muda ukifikaWalianza na kupuliza sumu , sumu ikampapasa Mwenezi, akapigwa na Dalili za Mafua Makali tu ,ila Makonda anaendelea kupiga kazi.
Wameona Sasa watengeneze ajali .
Hahaha aisee...!!!
Yeye anatakiwa asikilize kero za wananchi apeleke ripoti kwenye mamlaka husika ndani ya chama chake ambae ni mwenyekiti wa chama baada ya hapo huyo mwenyekiti ambae ni Rais ashushe maelekezo kwa watendaji na siyo kutumia rasilimali za serekali kwenye shughuli za chama hayo ni matumizi mabaya ya mali ya ummaChama kipo juu ya Serikali.
Kwahiyo viongozi wa Serikali hawakupaswa wawepo kwenye Mikutano ya Chama kilichowapa hizo nafasi ?.
Na kama walipaswa kuwepo, ulitaka watembee Kwa miguu?.
Au ulitaka, wawepo ila watumie Magari ya Chama?
Huyo makonda anaingiaje kwenye vita ya kiuchumi?ulishawahi kusikia juu ya vita vya kiuchumi ndugu
Gharama ya boneti moja tu ya shangingi ni millions of coins bado mifumo mingine ...big loss kwa serikaliMsafara wa Mwenezi wa CCM Komredi Makonda umepata.ajali akiwa njiani kuelekea DSM msibani kwa Waziri mkuu mstaafu
Jumla ya magari 13 yamegongana
Ajali imetokea huko suluhu Masasi mkoani Mtwara
====
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
Source: Azam Tv