CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 21,109
- 41,390
Ngoja tuone kama signal ya wana wa Kusini haijasomeka na sisi wa Kanda ya Ziwa tunajipanga halafu tunapiga kolabo na hawa wana wa Kusini hadi kielewekeKwanini gari za serekali STL zinatumika kwa matumizi ya chama? Sasa si hasara kwa serekali hii hela ya mlipa kodi ndo inatumika hivi?
Na suala la misafara yake kutumia 2 Lane nalo liangaliwe yeye siyo kiingozi wa kiserekali atumie 1 Lane ili watumiaji wa barabara wengine nao wapate nafasai ya kuendelea na shughuli zao na siyo kusimamishwa pembeni zaidi ya dakika 30 hadi apite yeye
Hahahaha hatimae leo umekomenti?Duh hii mpya
Sawa kabisa umesema Vyema, eti Katibu Tawala Mkoa yumo kwenye msafara WA kiongozi WA chamaKwanini gari za serekali STL zinatumika kwa matumizi ya chama? Sasa si hasara kwa serekali hii hela ya mlipa kodi ndo inatumika hivi?
Na suala la misafara yake kutumia 2 Lane nalo liangaliwe yeye siyo kiingozi wa kiserekali atumie 1 Lane ili watumiaji wa barabara wengine nao wapate nafasai ya kuendelea na shughuli zao na siyo kusimamishwa pembeni zaidi ya dakika 30 hadi apite yeye
Mali ya serekali siyo mali ya chamaSerikali ya Chama .
Akili finyu hiyo ni ajali siyo jfjfbDAB HAROGEKI
Ajali inamhusu Katibu mwenezi wa cha cha siasa! Halafu cha kusikitisha magari yaliyopata ajali yana namba za serikali!! Hii nchi ina ujinga mwingi sana.Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
View attachment 2900908
Kwahiyo viongozi wa Serikali hawakupaswa wawepo kwenye Mikutano ya Chama kilichowapa hizo nafasi ?.Mali ya serekali siyo mali ya chama
ulishawahi kusikia juu ya vita vya kiuchumi nduguAnapigana against nani? TANZANIA ina watu wapumbavu sana
Kiki tu. Kaona Msiba wa Lowassa una make headlines.Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
======
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
View attachment 2900908
watanzania wanyonge walio wengi wanaona uwepo wa makonda nduguHawa wanyonge ni akina nani?? Is it fair kumuita mwenzio mnyonge?
Kwahiyo hapo ulitaka usikie, waloumia ni Mwenyekiti wa CCM, katibu wa CCm, na viongozi wa CCM??.Ajali inamhusu Katibu mwenezi wa cha cha siasa! Halafu cha kusikitisha magari yaliyopata ajali yana namba za serikali!! Hii nchi ina ujinga mwingi sana.
Watu wanalipa kodi kwa shida, halafu kodi hizo hizo wanazichezea kwenye mambo ya kipuuzi. Sitashangaa kuona watu wakifurahia hiyo ajali, na hata kuwaombea mabaya wahusika.
Usilojua ni sawa na usiku wa Giza.makonda hatochoka kuipigania nchi hasahasa kwa wanyonge na walalahoi wallah
Weee huna akili, unahisi Kifo Cha Mzee Lowassa, kingepunguza nyomi la Makonda kama angeamua kuendelea na Mikutano?.Kiki tu. Kaona Msiba wa Lowassa una make headlines.
kamanda mzalendo mwanzisha mwendo makonda tuponae bega kwa bega chini ya mwamvuli wa ilani ya chama cha mapinduziUsilojua ni sawa na usiku wa Giza.
Tunamaliza Kuzika tunarudi Kupaambana.ajali hazitaturudisha nyuma.Usilojua ni sawa na usiku wa Giza.
Wewe na huyo katibu tawala wako mkafie mbali huko. Pumbavu.Kwahiyo hapo ulitaka usikie, waloumia ni Mwenyekiti wa CCM, katibu wa CCm, na viongozi wa CCM??.
Wee hujaona kua na Katibu Tawala Mkoa ' RAS ' kajeruhiwa? Ulitaka katibu tawala Mkoa, atumie usafiri wa Chama???.
Wewe ni Lipuuzi kwelikweli , hivi huo uchadema, Huwa mnafunzwa kua wapuuzi tu??.Wewe na huyo katibu tawala wako mkafie mbali huko. Pumbavu.