Msafara wa Lowassa Pemba Kufuru Mbaya

Msafara wa Lowassa Pemba Kufuru Mbaya

Ila jf ina watu wenye midomo michafu jamani. Ptuuuùu
 
Lowassa is the greatest man i have ever seen in my entire life and he will be the greatest man in the rest of my life.

Lowassa is my hero, the hero of our generation,the hero in the 21st century.

Lowassa kanifundisha ile kanuni ya never give up whatever what practically,siku zote pigania kutimiza ndoto zako bila kujali vikwazo.

Lowassa live longer, if there is a god or God let him bless you,you are the greatest man of our time,you name be exalted to the highest.
 
Gentamycine na nape nawatakia maisha marefu ili mvune matunda ya midomo yenu. Mwenzenu ameshtuka ameanza kuuza sheli aruke ng'ambo, muda utasema na siku zitaongea

Nan kauza shel mkuu
 
:A S-rap: mtaropoka majukwaan lowasa atakua Juuu kama katun anavyo sisitiza
 
Alojisaidia jukwaani babayako ulimwona au Maneno yako ya kuokoteza dampo
 
Gentamycine na nape nawatakia maisha marefu ili mvune matunda ya midomo yenu. Mwenzenu ameshtuka ameanza kuuza sheli aruke ng'ambo, muda utasema na siku zitaongea
Ni hivi , UKAWA tumekubaliana , hatutahangaika na masikini wa fikra kama hawa vijana na wala hatutalipa kisasi , kazi tuliyonayo ni kukamilisha yale tuliyoahidi ndani ya ilani yetu kwa watanzania .
 
Hata Shetani Pia Yupo Upande Wenu Na Ndiyo Maana Kwa Laana Za Mwenyezi Mungu Mgombea Wenu Haishi Kutoa Haja Kubwa Majukwaani.
Ebu kuwa na adabu we mara zote comments zako ni hizo hizo, kuwa na hekima japo kidogo, hujafa hujaumbika!
 
Aliyesema kaskazin haitatoa raid ndo anapiga mnada sheli zake
 
Back
Top Bottom