Kwasasa ni dhahiri kusema cdm ina wananchi wakat ccm ikiwa na dola. Kilichobaki sasa cdm anzeni hotuba za nguvu zenye mashiko mazito kuvielimisha vyombo vya dola kuhusu aina ya mabadiliko yatarajiwayo ili navyo vikombolewe kifikra.
Asante Mungu....
Kwasasa ni dhahiri kusema cdm ina wananchi wakat ccm ikiwa na dola. Kilichobaki sasa cdm anzeni hotuba za nguvu zenye mashiko mazito kuvielimisha vyombo vya dola kuhusu aina ya mabadiliko yatarajiwayo ili navyo vikombolewe kifikra.
FFU wakiwa wameuzuia msafara wa viongozi wa Chadema Taifa eneo la Miyomboni mjini Iringa jioni hii ,msafara huo ulikuwa ukitokea Morogoro kuja Iringa
Msafara wa Chadema ukiwa umepigwa Stop eneo la Miyomboni jioni hii
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limeuzuia kwa muda msafara wa viongozi wa kitaifa wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) ambao walikuwa wakiingia mjini Iringa wakitokea mkoani Morogoro.
Askari polisi hao wakiongozwa na askari wa FFU zaidi ya 100 waliuzuia msafara huo eneo la Zebra katika barabara kuu ya Iringa Dodoma baada ya jeshi hilo awali kuzuia maandamano ya Chadema na vyama vyote kwa maelekezo ya msajili wa vyama vya siasa.
Hata hivyo kutokana na umati mkubwa wa wananchi mkufika eneo hilo viongozi wa Chadema na polisi waliweza kukubaliana msafara huo kuendelea na safari yake kuelekea nyumbani kwa mbunge Msigwa eneo la Kihesa.
Katika tukio hilo jeshi la polisi halijaweza kutumia mabomu wala nguvu zaidi katika kuwatawanya wananchi kama ilivyo kuwa mkoani Morogoro jana.
Habari zaidi utaendelea kuzipata
Siku Dr Slaa atakapokuwa anaapishwa kuwa Rais 2015 maaskari watakuwa wanamlinda kama wanavyoonekana kwenye picha...
Ni wazi kabisa ccm hawakushinda kiuhalali uchaguzi uliopita.Haiwezekani na wala kuingia akilini kwamba walishinda.UONGOZI ULIPATA RIDHAA YA WANANCHI GANI?Mbona huwa sioni mambo kama haya kwa ccm kama kilishinda?hao wanachama wake ni hewa?
May be this is a failure to you. Na CCM Iringa mtakiona cha mtemakuni.
Tunangojea press conference. Hii inatupa tabu kidogo.
Kauli ya kuwa wao magamba na pesa ,sisi na mungu ni nzito haijawahi kusemwa tangu dunia hii iumbwe viva m4c
FFU wakiwa wameuzuia msafara wa viongozi wa Chadema Taifa eneo la Miyomboni mjini Iringa jioni hii ,msafara huo ulikuwa ukitokea Morogoro kuja Iringa
Msafara wa Chadema ukiwa umepigwa Stop eneo la Miyomboni jioni hii
Jeshi la Polisi mkoani Iringa limeuzuia kwa muda msafara wa viongozi wa kitaifa wa chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) ambao walikuwa wakiingia mjini Iringa wakitokea mkoani Morogoro.
Askari polisi hao wakiongozwa na askari wa FFU zaidi ya 100 waliuzuia msafara huo eneo la Zebra katika barabara kuu ya Iringa Dodoma baada ya jeshi hilo awali kuzuia maandamano ya Chadema na vyama vyote kwa maelekezo ya msajili wa vyama vya siasa.
Hata hivyo kutokana na umati mkubwa wa wananchi mkufika eneo hilo viongozi wa Chadema na polisi waliweza kukubaliana msafara huo kuendelea na safari yake kuelekea nyumbani kwa mbunge Msigwa eneo la Kihesa.
Katika tukio hilo jeshi la polisi halijaweza kutumia mabomu wala nguvu zaidi katika kuwatawanya wananchi kama ilivyo kuwa mkoani Morogoro jana.
Habari zaidi utaendelea kuzipata
M4C a nonstater, a failure.
yaani RPC wa Iringa ana busara kuliko wa Mlogolo?
Mkuu ipo thread inasema Dr kaahirisha M4C kwa siku ngapi cjui,nilidhani pia watabaki kwenye mazishi ya marehemu Ally,huu msafara wa Iringa tena ni wa nani? mikutano itakuwepo?Bora Rpc na Ocd wa Iringa ni waelewa na hawakuleta maafa kama jana kwa Shilogille na O.c.d wake ambae hata kuandika official letter kwake ni ....