Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 671
- 702
Kuna bidhaa za kilimo nataka kununua Njombe sasa nahitaji kuziona kwanza na kwa sasa niko mbali sana, je kuna mtu yeyote yuko njombe ani-PM aende kuzicheki kabla sijatumiwa mzigo... fedha ntamtumia nimpe tenda hii ya siku moja kukagua mzigo kabla haujaapakiwa.