Msaada

Msaada

Habari zenu wanaJF......
mm ni kijana....nnalolileta kwenu leo ni khs rafiki yangu....
ni rafiki yangu wa muda mrefu naeza kusema ka tumekua nae vile....ni mwanaume rijali kabisa sema kinachonishangaza ni kwamba anaamshwa zaidi au kuvutiwa kimapenzi na wanaume wenzake.....na cha ajabu zaidi si kusema anataka kuwala 0713*** or yy ndo aliwe.....hapana......yeye anavutiwa zaidi na romance na wanaume wenzake.....tena akiona wenye miili iliyojengeka vizuri(masculine) ndo anachanganyikiwa zaidi......madem pia anao, sema anao kwa ajili ya mazoea tu but hawamsisimui kama anavyofanya romance na wanaume wenzake.......yani hata akiona sexy man yupo naked ye nae anadindisha......
mwenzenu nimeshindwa kabisa kuielewa ii abnormality......
mwenye kujua lolote jamani kuhusu rafiki yangu uyu atoe mchango wake hapa, hata ushauri wa kumuepusha na iyo hali utasaidia coz yy hafurahishwi nayo but ndo ashakua ivo ss........


Karibuni Jamani kwa michango yenu......

Hii habari haina uhalisia heading inasomeka 'msaada' lakini huku unakaribisha michango ya watu
 
sa hata nkisema ni mm kwani kuna tatzo......
nikuulize wewe, kuna tatizo ukisema ni wewe mpk ukasema ni rafiki yako?
anyway
kabla ya kupost humu uishamshaur mwenzio juu ya mwenendo wake huo? maana ameanza na mdomo kesho yake atataka dudu au tigo
 
wenyewe wamelala na wengine wanapiga game ss hivi, ngoja wakiamka kesho watakupa michango.
 
nikuulize wewe, kuna tatizo ukisema ni wewe mpk ukasema ni rafiki yako?
anyway
kabla ya kupost humu uishamshaur mwenzio juu ya mwenendo wake huo? maana ameanza na mdomo kesho yake atataka dudu au tigo

dah.....nashindwa hata jinsi ya kuanza kumshauri cz sijui ja kuna watu wa aina ii or inakuaje ....n mara ya mwisho ameniambia akiwa kanyongonyea kbxaa......
 
dah.....nashindwa hata jinsi ya kuanza kumshauri cz sijui ja kuna watu wa aina ii or inakuaje ....n mara ya mwisho ameniambia akiwa kanyongonyea kbxaa......
mpe pole mwambie ajitaid kuwa mwanaume, asijiendekeze na iyo tabia, ikishindikana akafanyiwe maombi labda ni pepo...
 
hayo ni mambo ya kuendekeza tu, mwambie ale kabang na ajiandae kwa madhara yake. Tafta post humu ilikuwa inaeleza madhara ya kula Go
 
hayo ni mambo ya kuendekeza tu, mwambie ale kabang na ajiandae kwa madhara yake. Tafta post humu ilikuwa inaeleza madhara ya kula Go

cha kushangaza yeye anachukia sana kula or kuliwa Go.....anachovutiwa zaidi ni romance kutoka kwa wanaume
 
Mzee 1..alinunua gari aina ya DALADALA,,kutokana
na tabia ya walimwengu akaenda SUMBAWANGA
kutafuta mganga wa kumkinga yeye na gari
yake..Akafanikiwa kupata waganga wa3...akawa
anawapeleka DAR,,wakiwa njiani wale waganga wakapimana nguvu il kumuonyesha uwezo mzee
mwenye gari..
Mambo yakawa hivi!!!
"mganga wa1:;.Akaonyesha kidole juu mara mvua
ya maana ikanyesha...akarudia tena ikaacha.!
Mzee akapagawa!! baadae mganga wa2 akakohoa Tair zote zkapata
pancha na bado gari mwendo uleule!!..akarudia tena
upepo ukajaa..
Mzee mwenye gari akatangaza ubingwa kwa yule
mganga wa pili.
Walipokaribia Ubungo wote wakiwa na furaha..Yule mganga wa3 akasema maneno maTano 2..Wakajikuta bado wapo Sumbawanga wanaanza safari upyaaa !!
 
Pole, kama hujakaanza hako kamchezo kimbilia kwa maombi.
 
Back
Top Bottom