Hilo tatizo nililipata zaidi ya miezi miwili kiasi kwamba imenibidi nihamie Gmail hata hivyo inategemea na network maana kwene simu naweza ku-access bila shida na pia kwa baadhi ya maeneo haina shida, nilijaribu ku-go back to the older version ikagoma pia. Siwezi hata kusoma mails achilia mbali ku-attach na ku-download. nimeripoti but still no response na sasa ni kila mtu hapa ofisini mwenye account yahoo ana face the same problem. Sijui kwa kweli labda tusikilize wajumbe wengine.
bora nianze na Gmail.
Wadau, nimekuwa nikitumia Yahoo Mail kwa muda lakini hapa karibuni walilazimisha ku-up date e-mail yangu na tangu hapo ziwezi tena ku-attach files kwenye e-mail.
Kama kuna jinsi naweza fanya naomba msaada wanajamvi
Gmail iko strong...ukiitumia itakusaidia sanabora nianze na Gmail.