N Nassor Mwanaharakati Member Joined Dec 13, 2011 Posts 34 Reaction score 1 Dec 14, 2011 #1 Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje
Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje
Mwali JF-Expert Member Joined Nov 9, 2011 Posts 7,012 Reaction score 5,613 Dec 14, 2011 #2 Necta ndio nini?
Mtazamaji JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 5,937 Reaction score 1,445 Dec 14, 2011 #3 Nadhani unataka kuweka kitu kinaitwa "Watermark". Anzia hapa kwenye hii tovuti unaweza ku google pia.Ukikwama fafanua usaidiwe au tafuta mtaalam wa Internet cafe wape mshiko watakufanyia fasta . Otherwise fafanua vizuri tatizo usomeke
Nadhani unataka kuweka kitu kinaitwa "Watermark". Anzia hapa kwenye hii tovuti unaweza ku google pia.Ukikwama fafanua usaidiwe au tafuta mtaalam wa Internet cafe wape mshiko watakufanyia fasta . Otherwise fafanua vizuri tatizo usomeke
X-PASTER JF-Expert Member Joined Feb 12, 2007 Posts 11,604 Reaction score 1,858 Dec 14, 2011 #4 Nassor Mwanaharakati said: Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje Click to expand... Lengo lako ni nini? Sema usahidiwe.
Nassor Mwanaharakati said: Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje Click to expand... Lengo lako ni nini? Sema usahidiwe.
afrodenzi Platinum Member Joined Nov 1, 2010 Posts 18,153 Reaction score 9,271 Dec 14, 2011 #5 una photo shop...???
N Nassor Mwanaharakati Member Joined Dec 13, 2011 Posts 34 Reaction score 1 Dec 14, 2011 Thread starter #6 X-PASTER said: Lengo lako ni nini? Sema usahidiwe. Click to expand... Nilikuwa nataka kuanda front page amabayo itakuwa na watermark kama ukiangalia mutihani ya NEcta ina front page ambayo ina maneno necta mengiiiiiiiiiiii so naomba msaada
X-PASTER said: Lengo lako ni nini? Sema usahidiwe. Click to expand... Nilikuwa nataka kuanda front page amabayo itakuwa na watermark kama ukiangalia mutihani ya NEcta ina front page ambayo ina maneno necta mengiiiiiiiiiiii so naomba msaada
N Nassor Mwanaharakati Member Joined Dec 13, 2011 Posts 34 Reaction score 1 Dec 14, 2011 Thread starter #7 Mtazamaji said: Nadhani unataka kuweka kitu kinaitwa "Watermark". Anzia hapa kwenye hii tovuti unaweza ku google pia.Ukikwama fafanua usaidiwe au tafuta mtaalam wa Internet cafe wape mshiko watakufanyia fasta . Otherwise fafanua vizuri tatizo usomeke Click to expand... Mitihani ya Necta kama ushawahi kuiona ile front page yake ina watermark ya neno necta tena ni nyingi nyingi so mataka kuanda kama hiyooooo
Mtazamaji said: Nadhani unataka kuweka kitu kinaitwa "Watermark". Anzia hapa kwenye hii tovuti unaweza ku google pia.Ukikwama fafanua usaidiwe au tafuta mtaalam wa Internet cafe wape mshiko watakufanyia fasta . Otherwise fafanua vizuri tatizo usomeke Click to expand... Mitihani ya Necta kama ushawahi kuiona ile front page yake ina watermark ya neno necta tena ni nyingi nyingi so mataka kuanda kama hiyooooo