Rihana
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 498
- 250
Wakuu naomba msaada mafaili yangu yote yamefutika kwenye window 7 vista, hata programme kama vile word excel inaniambia nikanunue, Je nawezaje ku restore hizo programme? Maana zilikuwepo kwenye compyuta kabla haijaformatiwa nitashukuru sana kwa mchango wa mawazo. Kama kuna mtu ana licence ya Office 2010 naomba msaada niweze kuinstall maana kazi zangu ni za uandishi natumia word zaidi