Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,574
- 1,996
Mkuu mm ikiwahi kutokea kunasim ambazo huwezi kupata hyo huduma kwenye pray store, ila unacho fanya unaenda kwenye internet service, unaandika hyo wasup app download, itakuja na uta download..Yap nimechange ila bado.
Ni device hii hii inayogoma
Angalizo, hyo application huwa inachukua mda, mm nliupload kwenye tablet sumsang, iligoma nikaelekezwa na mtu na sasa naendelea...
Ukifanikiwa leta mrejesho mkuu