Msaada: Wenye uzoefu wa Skype Interview

sifuri

Senior Member
May 12, 2013
154
88
Ndugu zangu nimetumiwa ujumbe wa 30 minutes skype interview siku ya jumatano saa 10 jioni baada ya kufanya 'job application' nchini canada.sina uzoefu na matumizi ya skype na vilevile computer ninayotumia haina web camera ili tuweze kuonana face to face na msahili.Mwenye uzoefu na haya mambo naomba anisaidie jinsi mambo yanavyokuwa na niwapi naweza pata sehemu wanayotoa huduma hii kwa uzuri zaidi na wanacharge kiasi gani hapa dar ikiwezekana maeneo ya posta.nitarejesha mrejesho
 
Ndugu zangu nimetumiwa ujumbe wa 30 minutes skype interview siku ya jumatano saa 10 jioni baada ya kufanya 'job application' nchini canada.sina uzoefu na matumizi ya skype na vilevile computer ninayotumia haina web camera ili tuweze kuonana face to face na msahili.Mwenye uzoefu na haya mambo naomba anisaidie jinsi mambo yanavyokuwa na niwapi naweza pata sehemu wanayotoa huduma hii kwa uzuri zaidi na wanacharge kiasi gani hapa dar ikiwezekana maeneo ya posta.nitarejesha mrejesho

Pole sana Mkuu.
Hiyo Job application yako ulituma moja kwa moja Canada au ni Kampuni ya Ki-Canada inayofanya shughuli zake Tanzania?
Kama ulituma moja kwa moja kuomba kufanya kazi Canada kuwa makini.
Pili Kwa Suala la skype interview ni kitu cha kawaida tu kama unavyoengea na mtu kwenye simu. Tofauti ni kwamba mtakuwa mnaonana uso kwa uso, kwa hiyo isikupe hofu. Suala la wapi wanatoa huduma hiyo, mie ningekushauri kuwa Interview kama hizi siyo za kufanyia internet cafee kwani mazingira ya cafee siyo rafiki kwa ajili ya interview. (movement za watu zinaweza zikachangia usifanye vizuri). Kwa suala la laptop yako kutokuwa na webCam, ni jambo la kusikitisha make laptop nyingi siku hizi zinakuja na built-in webCam au kama unaweza ni bora ukanunue webCam zipo za bei nafuu tu kuanzia elfu sitini au themanini utapata webcam. Kuhusu Skype, hii ni free downloadable software. unadownload na kuinstall kwa laptop yako kulingana na operating system ya computer unayotumia. fuata link hii.
Download Skype for Desktop
 
Ndugu zangu nimetumiwa ujumbe wa 30 minutes skype interview siku ya jumatano saa 10 jioni baada ya kufanya 'job application' nchini canada.sina uzoefu na matumizi ya skype na vilevile computer ninayotumia haina web camera ili tuweze kuonana face to face na msahili.Mwenye uzoefu na haya mambo naomba anisaidie jinsi mambo yanavyokuwa na niwapi naweza pata sehemu wanayotoa huduma hii kwa uzuri zaidi na wanacharge kiasi gani hapa dar ikiwezekana maeneo ya posta.nitarejesha mrejesho
Jihadhari wanaweza kukurekodi halafu ukatumika ndivyo sivyo
 
Pole sana Mkuu.
Hiyo Job application yako ulituma moja kwa moja Canada au ni Kampuni ya Ki-Canada inayofanya shughuli zake Tanzania?
Kama ulituma moja kwa moja kuomba kufanya kazi Canada kuwa makini.
Pili Kwa Suala la skype interview ni kitu cha kawaida tu kama unavyoengea na mtu kwenye simu. Tofauti ni kwamba mtakuwa mnaonana uso kwa uso, kwa hiyo isikupe hofu. Suala la wapi wanatoa huduma hiyo, mie ningekushauri kuwa Interview kama hizi siyo za kufanyia internet cafee kwani mazingira ya cafee siyo rafiki kwa ajili ya interview. (movement za watu zinaweza zikachangia usifanye vizuri). Kwa suala la laptop yako kutokuwa na webCam, ni jambo la kusikitisha make laptop nyingi siku hizi zinakuja na built-in webCam au kama unaweza ni bora ukanunue webCam zipo za bei nafuu tu kuanzia elfu sitini au themanini utapata webcam. Kuhusu Skype, hii ni free downloadable software. unadownload na kuinstall kwa laptop yako kulingana na operating system ya computer unayotumia. fuata link hii.
Download Skype for Desktop
Ushauri mzuri huo,hakuna haja ya kufanyia interview kwenye Internet Cafe kutakuwa na interruption za makelele utabaki unauliza unasemaje kila wakati which is boring and it wont be friendly
 
Ndugu zangu nimetumiwa ujumbe wa 30 minutes skype interview siku ya jumatano saa 10 jioni baada ya kufanya 'job application' nchini canada.sina uzoefu na matumizi ya skype na vilevile computer ninayotumia haina web camera ili tuweze kuonana face to face na msahili.Mwenye uzoefu na haya mambo naomba anisaidie jinsi mambo yanavyokuwa na niwapi naweza pata sehemu wanayotoa huduma hii kwa uzuri zaidi na wanacharge kiasi gani hapa dar ikiwezekana maeneo ya posta.nitarejesha mrejesho

Mimi ni mzoefu sana mara ya mwisho nimefanya skype interview january this year na niko Job Uganda kwa sasa , nimesafanya skype interview nyingi tu na mikutano pia ya kazini. Zingatia yafuatayo 1. Laptop iwe na camera, connection ya internet iwe nzuri kwa dar jaribu halotel nasikia wana 4g kani hata 3g poa tu kwa picha nzuri na mawimbi mazuri kama unatumia modem hakikisha unajaza ya kutosha ( bando) , vaa vizuri kulingana na profile ya kazi yako , kama ni Logistics achana na suti, au shati jeupe... kama unafanyia nyumbani fukuza watoto wakae mbali kabisa , kama ni office make sure that hakuna kinachoonesha kuwa uko office hasa background wengi wasinge penda candidate anaa buse muda wa muajiri wake wa sasa.... ( kumbuka fimbo inayompiga mke mwenzio) relax, kuwa clear , rudia kama unahisi hujaeleweka, uliza kama hujaelewa kabla ya kurukia kujibu usichokielewa vyema..... facial xpression muhimu , tabasamu wakitania cheka ki professional. body langauage huangaliawa sana tumia mikono yako vizuri , ndita usoni futa. je unaswali zaidi?
 
Canada eeh? Kama kitakachofuatia hapo ni kuombwa pesa shtuka. Unaweza kutapeliwa kirahisi sana!
Pole sana Mkuu.
Hiyo Job application yako ulituma moja kwa moja Canada au ni Kampuni ya Ki-Canada inayofanya shughuli zake Tanzania?
Kama ulituma moja kwa moja kuomba kufanya kazi Canada kuwa makini.
Pili Kwa Suala la skype interview ni kitu cha kawaida tu kama unavyoengea na mtu kwenye simu. Tofauti ni kwamba mtakuwa mnaonana uso kwa uso, kwa hiyo isikupe hofu. Suala la wapi wanatoa huduma hiyo, mie ningekushauri kuwa Interview kama hizi siyo za kufanyia internet cafee kwani mazingira ya cafee siyo rafiki kwa ajili ya interview. (movement za watu zinaweza zikachangia usifanye vizuri). Kwa suala la laptop yako kutokuwa na webCam, ni jambo la kusikitisha make laptop nyingi siku hizi zinakuja na built-in webCam au kama unaweza ni bora ukanunue webCam zipo za bei nafuu tu kuanzia elfu sitini au themanini utapata webcam. Kuhusu Skype, hii ni free downloadable software. unadownload na kuinstall kwa laptop yako kulingana na operating system ya computer unayotumia. fuata link hii.
Download Skype for Desktop
nashukuru sana kwa mawazo yako ndugu! nilibahatika kupiga job nawazungu flan frm US last year na bahati nzuri walinikubali kinoma kwa sasa wapo czechoslovakia wamenilink na hiyo kampuni ipo canada[makao makuu] ila wanapiga kazi UAE jamaa ndo ivo wamechunguza cv wameni email interview j5.ngoja nifanye utaratibu nitarudi kutoa mrejesho
 
Kwanini uwaze ni matapele tu wakati mleta mada amesema alituma maombi,usimkatishe tamaa mwenzio,acha afanye usaili,
brother nakushukuru kwa kusema ukweli angelifaham jinsi hiyo application ilivyopitia sidhan kama angepost hivyo.nadhan aliwaza jobs@zoomtanzania,au jukwaa la kazi JFna baadhi ya mitandao ya hapa kwetu.
 
Ushauri mzuri huo,hakuna haja ya kufanyia interview kwenye Internet Cafe kutakuwa na interruption za makelele utabaki unauliza unasemaje kila wakati which is boring and it wont be friendly
thanks brother!at least you've given me ladder to get on high!
 
Mimi ni mzoefu sana mara ya mwisho nimefanya skype interview january this year na niko Job Uganda kwa sasa , nimesafanya skype interview nyingi tu na mikutano pia ya kazini. Zingatia yafuatayo 1. Laptop iwe na camera, connection ya internet iwe nzuri kwa dar jaribu halotel nasikia wana 4g kani hata 3g poa tu kwa picha nzuri na mawimbi mazuri kama unatumia modem hakikisha unajaza ya kutosha ( bando) , vaa vizuri kulingana na profile ya kazi yako , kama ni Logistics achana na suti, au shati jeupe... kama unafanyia nyumbani fukuza watoto wakae mbali kabisa , kama ni office make sure that hakuna kinachoonesha kuwa uko office hasa background wengi wasinge penda candidate anaa buse muda wa muajiri wake wa sasa.... ( kumbuka fimbo inayompiga mke mwenzio) relax, kuwa clear , rudia kama unahisi hujaeleweka, uliza kama hujaelewa kabla ya kurukia kujibu usichokielewa vyema..... facial xpression muhimu , tabasamu wakitania cheka ki professional. body langauage huangaliawa sana tumia mikono yako vizuri , ndita usoni futa. je unaswali zaidi?
Anachunusi!
 
nashukuru sana kwa mawazo yako ndugu! nilibahatika kupiga job nawazungu flan frm US last year na bahati nzuri walinikubali kinoma kwa sasa wapo czechoslovakia wamenilink na hiyo kampuni ipo canada[makao makuu] ila wanapiga kazi UAE jamaa ndo ivo wamechunguza cv wameni email interview j5.ngoja nifanye utaratibu nitarudi kutoa mrejesho

kila LA kheri mkuu. marufuku kukata tamaa.
 
Back
Top Bottom