Msaada wenu

FredKavishe

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2010
Posts
1,090
Reaction score
322
Hv mtu akiwaa na diploma ya computer science eng kima cha chini ni sh ngap'na akiwa na diploma ya it kima cha chini sh ngapi'
 
Salaary ama vipi?---weka wazi mkuu.
 
Hv mtu akiwaa na diploma ya computer science eng kima cha chini ni sh ngap'na akiwa na diploma ya it kima cha chini sh ngapi'

Soko huria mkuu hadi kwenye ajira. it depend na organisation utayopata.Cha msingi ni money has never been enough whatever the figures teh teh teh.

  • Some organisation negotiate salary na muajiriwa
  • Saalary inaweza kuwa determined na experience
  • Salary inaweza kuwa influnced na eneo mkoa au utakaofanya kazi.?
  • Salary inaweza isiwe factor ya net income . huu ujanja unatumika ma mashirika na makapuni kuwkepa kodi na michango ya NSSF ya wafanyakazi kwa
 

nashukuru mkuu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…