Msaada wenu wakuu!

Msaada wenu wakuu!

Ooh no....siwezi mimi hata kidogo kudate na mdogo kuliko mimi
 
Kama kuna kikwazo kingine sawa,ila umri sio issue!!
Kama umempenda oa tu
 
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!

Inaezekana sana tena ugomvi wakitoto unakua hakuna na wivu wa kishenzi shenzi hakuna cz kila mtu anajua anataka nin.
 
Wewe oa mkuu

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Wakuu naomba mnisaidie kimawazo mwenzenu, je inawezekana kwa mwanaume kuoa mke anaemzidi umri maana kwa kawaida mwanaume ndiye anaetakiwa amzidi umri mwanamke!

we oa bana unacomplicate life sana
 
Back
Top Bottom