kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,150
- 15,790
Kwanza nyie hamjui kuandika
Pili hujui kuchati romantiki, unachati vp na mpenzi wako unaandika herufi kubwa Kama maombi ya kazi ?
Tatu huwa hatuombi hivo direct Kama unaomba mahindi, mapenzi Ni hisia, mnaweza meet sehem mkanywa mkala then automatically mkajikuta mmesex
Kwa kifupi Dem hakufeel, unammboa, ndo maaana anakujibu shit ili ubadili msimamo umpotezeee!
Kimbia mkuu kabla hujaumia zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili hujui kuchati romantiki, unachati vp na mpenzi wako unaandika herufi kubwa Kama maombi ya kazi ?
Tatu huwa hatuombi hivo direct Kama unaomba mahindi, mapenzi Ni hisia, mnaweza meet sehem mkanywa mkala then automatically mkajikuta mmesex
Kwa kifupi Dem hakufeel, unammboa, ndo maaana anakujibu shit ili ubadili msimamo umpotezeee!
Kimbia mkuu kabla hujaumia zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
