Msaada wenu wa haraka, wembamba unaninyima amani

Tulia mwili utakuja wenyewe usihangaike kuutafuta ukija kwa pupa utataka ukonde tena urudi kwenye wembamba.

Mimi kuna watu nilikua nawajua ni wembamba sana hata wale nini hawanenepi. Siku hizi wamekua vibonge.
 
Tulia mwili utakuja wenyewe usihangaike kuutafuta ukija kwa pupa utataka ukonde tena urudi kwenye wembamba.

Mimi kuna watu nilikua nawajua ni wembamba sana hata wale nini hawanenepi. Siku hizi wamekua vibonge.
Nadhani ni suala la muda tu. Mwili huwa unafunguka wenyewe katika umri fulani. Atulia aenjoy life
 
Habarini za muda huu, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunapata chakula cha siku kwa familia na binafsi
.
.
Niende kwenye point moja kwa moja:
.
.
.
Mimi ni kijana umri wangu ni range (25--30), mpaka sasa nimeshapitia mahusino na mabinti watatu, nina urefu wa kutosha (sio kama hashim thabiti no), ila tatizo linakuja kwenye umbile la mwili wangu nimekuwa na changamoto kadha wa kadha
.
.
Kwenye familia yangu baba yangu Ana mwili wa kutosha na amepanda ewani vizuri sana, mama yangu hana mwili wa kutosha ni mwembamba
.
.
Binti wa kwanza, aliniacha kwa kuwa alipenda sana ninenepe na niwe na nyama nyama za kutosha ila haikuwa ivyo nilidumu nae kwa mwaka mmoja akaniacha
.
.
Binti wa pili, uyu alinishauri sana nile vizuri ninenepe, ila haikuwa ivyo tukaachana (kwa sababu nyingine tofauti na wembaba ingawaje alikuwa akinisisitiza sana ninenepe)
.
.
Uyu wa tatu nilimpenda mno tena mno ametoka kuniacha Nina week ya nne sasa (mwezi mmoj), uyu alinishauri Nile mayai, uji wa ulezi na maziwa..kwa mazingira nilikuwepo sikuweza kubalance ivyo chakula kwa sababu,
.
.
Nilichaguliwa kusoma chuo kikuu cha dodoma, collage of informatics, course ya computer engineering
.
.
Nilikutana na masomo magumu mno na changamoto ya chuo (collage ya informatics )ilikuwa ikinipa pressure muda wote
.
.
Kulingana na changamoto za chuo sikujali kuhusu wembaba wangu tena


Baada ya uyu binti wa tatu kuona bado nipo vilevile akaamua kunitafutia sababu na kuachana na mimi (ila Nina uhakika wa asilimia 95.5%) nimeachwa kwa ajili ya huu wembaba
.
.
Nimemaliza chuo mwaka huu, na matokeo yametoka poa nasubili graduu tu, sina tena streess nipo happy kabisa!!

Naombeni msaada wenu ni njia zipi nizifate angalu nipate mwili-mwili, sitaki kuwa kibonge sana ila napenda kuwa na nyama za wastani

Naombeni maoni yetu


Asante na mungu awabariki
Kila breakfast yako usikose amira mzee
 
Kaka yaaaani sijui unejuaje aki ya mungu daaah nimebaki nakufikilia ingawaje sikujui, na nina bahati sana ya kupata wa pande zile
Haiitaji rocket science kujua umeachwa na mchaga mkuu
Mimi mtu wa mbeya ila wachagga kwenye kuwakubali panapostahili nawapa credit tu
-wanawake wakichaga hata statustical wapo asilimia kubwa mashuleni mavyuon nk
-wazuri so ovias utafall kwa hao
Kama wapo wengi na wazur bas lazma utajikuta una date mmoja au wawil katika stage hiyo
 
mimi nishawahi kuwaacha mademu wanaonisema ni mwembamba...naona wanazingua tu...mtu anayekupenda kweli hanaga mambo mengi,mbona sisi tunawapenda na ubonge wao?hatuwaambii wakonde...???
wapuuzie hao
 
Habarini za muda huu, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunapata chakula cha siku kwa familia na binafsi
.
.
Niende kwenye point moja kwa moja:
.
.
.
Mimi ni kijana umri wangu ni range (25--30), mpaka sasa nimeshapitia mahusino na mabinti watatu, nina urefu wa kutosha (sio kama hashim thabiti no), ila tatizo linakuja kwenye umbile la mwili wangu nimekuwa na changamoto kadha wa kadha
.
.
Kwenye familia yangu baba yangu Ana mwili wa kutosha na amepanda ewani vizuri sana, mama yangu hana mwili wa kutosha ni mwembamba
.
.
Binti wa kwanza, aliniacha kwa kuwa alipenda sana ninenepe na niwe na nyama nyama za kutosha ila haikuwa ivyo nilidumu nae kwa mwaka mmoja akaniacha
.
.
Binti wa pili, uyu alinishauri sana nile vizuri ninenepe, ila haikuwa ivyo tukaachana (kwa sababu nyingine tofauti na wembaba ingawaje alikuwa akinisisitiza sana ninenepe)
.
.
Uyu wa tatu nilimpenda mno tena mno ametoka kuniacha Nina week ya nne sasa (mwezi mmoj), uyu alinishauri Nile mayai, uji wa ulezi na maziwa..kwa mazingira nilikuwepo sikuweza kubalance ivyo chakula kwa sababu,
.
.
Nilichaguliwa kusoma chuo kikuu cha dodoma, collage of informatics, course ya computer engineering
.
.
Nilikutana na masomo magumu mno na changamoto ya chuo (collage ya informatics )ilikuwa ikinipa pressure muda wote
.
.
Kulingana na changamoto za chuo sikujali kuhusu wembaba wangu tena


Baada ya uyu binti wa tatu kuona bado nipo vilevile akaamua kunitafutia sababu na kuachana na mimi (ila Nina uhakika wa asilimia 95.5%) nimeachwa kwa ajili ya huu wembaba
.
.
Nimemaliza chuo mwaka huu, na matokeo yametoka poa nasubili graduu tu, sina tena streess nipo happy kabisa!!

Naombeni msaada wenu ni njia zipi nizifate angalu nipate mwili-mwili, sitaki kuwa kibonge sana ila napenda kuwa na nyama za wastani

Naombeni maoni yetu


Asante na mungu awabariki

You may not control all the events that happen to you, but you can decide not to be reduced by them.

A girl should be two things: who and what she wants.

So, always be a first rate version of yourself and not a second rate version of someone else. About all you can do in life is being who you are. Some people will love you for you. Most will love you for what you can do for them, and some won't like you at all
======
Huwezi kudhibiti vitu vyote vinavyokutokea, lakini unaweza kuamua usipunguzwe navyo.



Msichana ni mambo mawili: nani na nini anataka.


Kwa hiyo, daima uwe na kiwango cha kwanza cha kiwango chako na si toleo la pili la kiwango cha mtu mwingine. Kuhusu yote unayoweza kufanya katika maisha ni kuwa wewe ni nani. Watu wengine watakupenda kwa ajili yenu. Wengi watakupenda kwa unavyo weza kuwafanyia, na wengine hawatakupenda wewe kabisa
 
Hongera sana mkuu tukutane Chimwaga Nov 22....Cive ulikua na pressure ya nini hadi ukashindwa kunenepa kwanza pale cive huwa kuna Gym (ukiitumia vzr Gym haijawahi kudanganya) kingine misosi mizuri ya ujasi nayo ukashindwa kuitumia vzr uwe na mwili mkubwa....Anyways kula vizuri tu hudhuria Gym
 
Back
Top Bottom