Msaada wenu: Urafiki na watoto wa kiume

Msaada wenu: Urafiki na watoto wa kiume

Njooo uchukue jezi karibu kiumeeee......moja kwa moja alimaanisha kuwa wewe n tom girl ivi....au mbabe flan iv ndo maana una rafik wa kike
 
ukiwa na marafiki wa kiume kuliwa jicho inakuwa ngumu sana......

japo pia inategemea maana sio wote wengn wana marafiki wa kiume wengi na wahuni wanakula tuu bila hiyana

alaf madem kama hawo wanakuwa na pigo za kiume alaf sio watamu inshort hawana ladha japo wanakuwa wazur ki K
Sasa na wale wanaume wanaoliwa jicho? Wao hawana rafiki wa kiume?
 
Looo! Labda... Ila nimejifunza mengi ko mwanaume hanirubuni kijinga! Na naweza nilale na mwanaume kitanda kimoja na nikauchapa usingizi bila kufikiria chochote kibaya!
Mmmmmmmmmmhhhh....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] wacha uongo

Ujisikie comfortable kabsaaaaaa?? Laba ulale na broh wako aisee
 
Kashindwa kukuambia ukweli... Hapo amekudhania wewe ni loose una gawa gawa ovyo ndiyo maana rafiki zako wengi ni wakiume..
 
si
Sasa na wale wanaume wanaoliwa jicho? Wao hawana rafiki wa kiume?

sijawahi kuishi nao wala kuwa nao karibu zaidi ya kuwaona barabarani na kuambiwa labda hili lijamaa wahuni wanamuhemea kwa nyuma

ila wale huwa mashoga zao ni mademu saaana na maskani mwao ni salun hasa za kike
 
Urafiki na watoto kiume... Ni kama kumpeleka mtoto wa swala akacheze na watoto wa simba...
Ahahaha. Sio kweki buanaaa

Mi marafiki wa kike wamenishinda kabisa!!!
Me and you both! Bora nikae na kutoka out mwenyewe, mademu ni sheedah

Wanawake malaya wote wana rafiki wengi wa kiume
Sio kweli
Wanawake woooote waliokuwa na marafiki na watoto wa kiume ndoa zinadumu mpaka mwisho.. ilizia

Duuu....unanitisha mkuu....my partener ana marafiki wa kiume lukuki ....anadai wanamsaidia mishe zake kibao za biashara....asa nimesoma post ako ....kengele ya hatar ime beep
Msamehe bure hajui asemalo!

hapo sijakuelewa kabisaaa,,
Kiru! Ndorooboee

Sometimes labda ni kushindwana tabia baina yenu binafsi ndio maana unakuta una marafiki wengi wa kiume...ila hakuna ubaya
Asante mkuu

Anaogopa kuchapiwa huyooo
Enhe hehehehe naonaaa

Looo! Labda... Ila nimejifunza mengi ko mwanaume hanirubuni kijinga! Na naweza nilale na mwanaume kitanda kimoja na nikauchapa usingizi bila kufikiria chochote kibaya!
Me and tou both, hata nikilala na thong kama game haipigwi haipigwi dadeki labda anibake sasa!
Hakuna kuliwa kijinga jinga mjini, ujinga tupa kule

Mje na huku jamani

Msaada Wenu Plz: Moonlight Lady
 
Back
Top Bottom