Mkuu pole kwa maradhi yako ya sikio lako limepata infection ndio maana unasikia milio ay ajabu ya ngoma ndani yake.Nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.Habari Wana JF kuhusu Afya.
Somo Hapo juu lahusika. Nasikia mwangwi na Cha ajabu nikiwa kwenye midundo mikubwa nasikia ngoma zinalilia sikioni.
Msaada maana hospitalini nitaishia kupewa vidonge ushauri wenu kwanza.
Asante