AsanKibongo bongo hilo haliwezekani.
Ila ungekua unatafuta mchango wa harusi ungechangiwa haraka sa
Asante kwa ushauri wako mkuuKibongo bongo hilo haliwezekani.
Ila ungekua unatafuta mchango wa harusi ungechangiwa haraka sana.
Shukran mkuu Mungu akubarikiYaani unataka tukuamini kwa hayo maelezo na hiyo namba tu??ngumu sana jombaa,nenda wilayani,muone mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,nenda kwenye kituo Cha radio,tv,au waone Wawakilishi wao,waliweke Swala lako wazi liweze kuaminika,hapo wabongo watakuchangia.
Ukihitaji maelezo zaidi nitakutumia CV yngu uone,, Asante kwa ushauri wako Mungu akubarikiHalafu tutakuamini vipi kuwa hizo hela unahitaji kwa ajili ya shule?
Mimi ni kijana wa miaka 21 nipo Mkoani Mara, nimemaliza form four(4) mwaka 2018 na kufaulu Ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto ya ada nikawa nafanya tu vibarua ndogondogo hapa mtaani
Ila kwa sasa kidogo nina kianzio cha kwenda kuanzia masomo, course ni DIPLOMA IN PHARMACY 3 years, yeyote atakayewiwa kunichangia hata hela ya sabuni asisite au japo kwa ushauri tu
Asanteni
Phone no 0766233977
Kuchangiwa na hata kusomeshwa kwa kulipiwa kila kitu inawezekana kabisa
Ila weka taarifa zako zote kwa uwazi. Majina kamili, unakoishi, shule uliyosoma, matokeo ya mtihani, usajili wa chuo unachoenda na gharama zake
Ukiishia kusema mimi ni kijana wa miaka 21 toka mkoani mara na unataka kupewa pesa huu Uzi utabaki kuwa wa masihara
Asante Mama D kwa ushauri wako nitauzingatiaKuchangiwa na hata kusomeshwa kwa kulipiwa kila kitu inawezekana kabisa
Ila weka taarifa zako zote kwa uwazi. Majina kamili, unakoishi, shule uliyosoma, matokeo ya mtihani, usajili wa chuo unachoenda na gharama zake
Ukiishia kusema mimi ni kijana wa miaka 21 toka mkoani mara na unataka kupewa pesa huu Uzi utabaki kuwa wa masihara
Ber mia wachOmera nang'o....