naamini wachumi na wahasibu mtanishauri maana ndo mna ujuzi.mi nimemalza form 6 ECA na
kugpata econ c,acount c ,comm
d,bam s.mi napenda sana kuwa
economist pia accountant,lakn
inabidi nchague kimoja,sasa
naomba msaada kozi ipi nzuri na
itanitoa kati ya bachelor of
accounting and finance Vs bsc
Economics.pia katika chuo kipi?
nawasilisha.