Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Heshima kwenu wakuu.
Nimechomwa na mwiba mguuni kwenye unyayo. Nimejitahidi kuutafuta ili niutoe nimeshindwa kuubani. Maumivu makali sana. Leo ni siku ya 3.
Ni wapi nitapata wataalam waubaini kisha utolewe? Yaelekea ni mwiba mdogo sana maana siuoni lakini nauhisi kutokana na maumivu ninayoyapata.
Naombeni msaada.
Nimechomwa na mwiba mguuni kwenye unyayo. Nimejitahidi kuutafuta ili niutoe nimeshindwa kuubani. Maumivu makali sana. Leo ni siku ya 3.
Ni wapi nitapata wataalam waubaini kisha utolewe? Yaelekea ni mwiba mdogo sana maana siuoni lakini nauhisi kutokana na maumivu ninayoyapata.
Naombeni msaada.