Tobechukwu
Senior Member
- Oct 15, 2018
- 112
- 415
Habari za leo wakuu, natumai mmeamshwa salama.
Nimekuja kwenu naombeni msaada wa kitabibu, nasumbuliwa na tumbo la chini la uzazi linaniuma sana mwezi wa pili sasa hasa upande wa kulia mpaka kiunoni kwa nyuma. Nilienda hospitali nikapimwa mkojo wakasema mkojo hauna infection yoyote.
Nikapimwa Ultrasound nikaambiwa kuna fluids, ila kwa vile nilitoka kumaliza period jana yake nikaambiwa nisubiri siku 7 zipite nirudi tena kama itaendelea kuepo au la nikarudi nyumbani na pain killer tu.
Ila maumivu yanazidi kuwa makali na saiv nakua naumwa yanaenda hadi mguu wa kulia upande huo huo tumbo linapouma, Kuhusu vagina discharge siielewi pia kwanza toka period inatoka kama makamasi na saivi bado inatoka kama makamasi na ina rangi ya cream kuelekea njano ila hauna harufu.
Nimeambatanisha na picha.
Nimekuja kwenu naombeni msaada wa kitabibu, nasumbuliwa na tumbo la chini la uzazi linaniuma sana mwezi wa pili sasa hasa upande wa kulia mpaka kiunoni kwa nyuma. Nilienda hospitali nikapimwa mkojo wakasema mkojo hauna infection yoyote.
Nikapimwa Ultrasound nikaambiwa kuna fluids, ila kwa vile nilitoka kumaliza period jana yake nikaambiwa nisubiri siku 7 zipite nirudi tena kama itaendelea kuepo au la nikarudi nyumbani na pain killer tu.
Ila maumivu yanazidi kuwa makali na saiv nakua naumwa yanaenda hadi mguu wa kulia upande huo huo tumbo linapouma, Kuhusu vagina discharge siielewi pia kwanza toka period inatoka kama makamasi na saivi bado inatoka kama makamasi na ina rangi ya cream kuelekea njano ila hauna harufu.
Nimeambatanisha na picha.