Msaada: Wataalam wa kutoa mwiba

Malyenge

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,658
3,645
Heshima kwenu wakuu.

Nimechomwa na mwiba mguuni kwenye unyayo. Nimejitahidi kuutafuta ili niutoe nimeshindwa kuubani. Maumivu makali sana. Leo ni siku ya 3.

Ni wapi nitapata wataalam waubaini kisha utolewe? Yaelekea ni mwiba mdogo sana maana siuoni lakini nauhisi kutokana na maumivu ninayoyapata.

Naombeni msaada.
 
Mkuu nenda hospital achana na wanasema watakucheka mzaa mzaa hutumbua usaa.. Kuna tumwiba tudogo tu lkn huwa na sumu ukipuuza utakaeumia ni wewe.
 
Tafuta mafuta ya mgando (ya kujipaka) weka donge dogo unapohisi mwiba uliingilia kisha tafuta mkaa wa moto anza kuchochea hapo hapo kwenye kidonda!! Dakika 2 mbili nyingi mwiba unajichomoa!!!
NB: KUNA MAUMIVU KIDOGO, SO JIANDAE KUYAVUMILIA
KWA jinsi anavyoonekana hii huduma labda afanyiwe na mtu mwingne kwa usimamiz maalumu mana maumivu yake nayajua..
 
Heshima kwenu wakuu.

Nimechomwa na mwiba mguuni kwenye unyayo. Nimejitahidi kuutafuta ili niutoe nimeshindwa kuubani. Maumivu makali sana. Leo ni siku ya 3.

Ni wapi nitapata wataalam waubaini kisha utolewe? Yaelekea ni mwiba mdogo sana maana siuoni lakini nauhisi kutokana na maumivu ninayoyapata.

Naombeni msaada.
Uache utunge usaha siku pakiiva ukibinya unapanda hapo speed hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom