Msaada: Wapi Dar wanauza water pampu used

Pump used itakusumbua sana. Bei ya mpya inch 3 na 7HP unapata kwa bei nzuri kuanzia 300k mpaka 350k bila mpira wala koromeo.

Mpaka mtu akuuzie used lazima ishampa kashkash kadhaa. Ikupige tukio uko zako porini huko uanze kulia
 
Back
Top Bottom