Msaada wandugu ku-burn Operating System

Msaada wandugu ku-burn Operating System

cheppe

Senior Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
157
Reaction score
13
Nina Os ya win 8.1 na win 7 kwnye flush yangu sasa nataka kuweka kwenye cd ili iwe bootable yani niwe natumia kufanyia new installation kwenye pc hambayo haina windows.

Nimejaribu na nero nikaenda kwenye data nimeweka folder la win 8.1 ime burn lakini nikijaribu kama navyotaka imegoma msaada jamani.
 
Ipo kwa mfumo wa image au folder? cheppe
 
Last edited by a moderator:
Mfumo wa folder

inabidi iwe kwenye mfumo wa image (iso) ili uweze kuburn kama image na kuweza kuboot.

kama unayo iso tumia hio then burn kama image na sio data, kama huna iso tumia app kama power iso au daemon tengeneza iso file kwanza then burn kama image
 
inabidi iwe kwenye mfumo wa image (iso) ili uweze kuburn kama image na kuweza kuboot.

kama unayo iso tumia hio then burn kama image na sio data, kama huna iso tumia app kama power iso au daemon tengeneza iso file kwanza then burn kama image

Aksante mkuu hiyo power iso na daemon naomba link ili ni zi downlod nitumie mkuu si free
 

Toa folder za os wataka kutoka main folder yake, yan fanya kama waextract manake kama ukifungua folder la win8.1 kuna vitu unaviona, then vyote vitoe visiwe kwenye hlo folder, kirahc zaid, copy ucjepoteza files chochote kikitokea. Then nenda kwa nero burn cd, lakn ucburn kwa option ya DATA, burn kwa option ya BOOTABLE CD/DVD. Weka zle files zote umeextract kutoka kwa main folder na burn umalize. Then weka cd kwa pc rom, restart pc, na cheki matokeo.
Feedback muhimu
 
Toa folder za os wataka kutoka main folder yake, yan fanya kama waextract manake kama ukifungua folder la win8.1 kuna vitu unaviona, then vyote vitoe visiwe kwenye hlo folder, kirahc zaid, copy ucjepoteza files chochote kikitokea. Then nenda kwa nero burn cd, lakn ucburn kwa option ya DATA, burn kwa option ya BOOTABLE CD/DVD. Weka zle files zote umeextract kutoka kwa main folder na burn umalize. Then weka cd kwa pc rom, restart pc, na cheki matokeo.
Feedback muhimu

Nimechemka ndugu
 
Toa folder za os wataka kutoka main folder yake, yan fanya kama waextract manake kama ukifungua folder la win8.1 kuna vitu unaviona, then vyote vitoe visiwe kwenye hlo folder, kirahc zaid, copy ucjepoteza files chochote kikitokea. Then nenda kwa nero burn cd, lakn ucburn kwa option ya DATA, burn kwa option ya BOOTABLE CD/DVD. Weka zle files zote umeextract kutoka kwa main folder na burn umalize. Then weka cd kwa pc rom, restart pc, na cheki matokeo.
Feedback muhimu

Mkuu kiukweli maekezo yako kidogo nimeona mwanga ila hivyo vifupisho mh nimetoka kapa waweza rudia mkuu.
 
Nina os ya win 8.1 na win 7 kwnye flush yangu sasa nataka kuweka kwenye cd ili iwe bootable yani niwe natumia kufanyia new installation kwenye pc hambayo haina windows nimejaribu na nero nikaenda kwenye data nimeweka folder la win 8.1 ime burn lakini nikijaribu kama navyotaka imegoma msaada jamani

Dunia inabadilika mkuu. Siku izi matumizi ya cd kuinstall os yanapungua. Njia mbadala ni kutengeneza live usb stick (flash disk yako) unaitumia kuinstall os badala ya cd
 
Mkuu kiukweli maekezo yako kidogo nimeona mwanga ila hivyo vifupisho mh nimetoka kapa waweza rudia mkuu.

Toa files zote kwa win8 folder
Ziburn zote kwa nero BOOTABLE DVD (Ucburn zikiwa ndani ya folder kama ulivyofanya kwa data)
Weka CD yako kwa PC na install window kawaida
 
Nina Os ya win 8.1 na win 7 kwnye flush yangu sasa nataka kuweka kwenye cd ili iwe bootable yani niwe natumia kufanyia new installation kwenye pc hambayo haina windows.

Nimejaribu na nero nikaenda kwenye data nimeweka folder la win 8.1 ime burn lakini nikijaribu kama navyotaka imegoma msaada jamani.

Sijawahi kuburn cd ya Windows kwa kawaida natumia flash disk kuinstall Windows kwenye computer sa kama hutajali jifunze kutumia bootable flash, maana ina hitaji commands fupi tu yenye steps chache.
Google how to prepare a bootable flash? Utaziona
 
Sijawahi kuburn cd ya Windows kwa kawaida natumia flash disk kuinstall Windows kwenye computer sa kama hutajali jifunze kutumia bootable flash, maana ina hitaji commands fupi tu yenye steps chache.
Google how to prepare a bootable flash? Utaziona

Ngoja niicheki hii itakuwa imekaa poa
 
Ngoja niicheki hii itakuwa imekaa poa

Kwa ufupi fata hizi steps

1.shikilia Ctrl na shift kwa wakati mmoja kisha bonyeza enter (kubonyeza enter inabidi uendelee kuzishikilia hizo Ctrl na shift, hapo itatokea nafasi ya kuandika

2.andika cmd, hapo inaweza kukuuliza km unataka kuwork km administrator jibu yes kwa kubonyeza yes kisha bonyeza enter

3.andika diskpart kisha bonyeza enter (usiache nafasi kati ya neno na neno).

4. List disk kisha bonyeza enter
Utaona disk ziko listed hapo

5.select disk 'x' (hiyo x namaanisha utachagua namba utakayoona inawakilisha flash disk yako, mara nyingi utaijua kwa kuangalia capacity maana flash disk itaonekana kua na capacity ndogo interms of mbs tofauti na computer, so utachagua km ni namba 1au la.

6.andika clean kisha bonyeza enter

7.andika create partition primary kisha bonyeza enter

8.andika select partition 1

9. Andika active kisha bonyeza enter

10. Andika format fs=ntfs quick kisha bonyeza enter
Hapo utaona inahesabu asilimia hadi zifike 100, ikimaliza bonyeza enter iliufanye hatua ya 11

11. Andika assign kisha bonyeza enter

12.andika exit (hatua hii sio lazima kivile unaweza kuipotezea tu).

Kumbuka hatua namba 3 ndio hutaacha nafasi kati ya neno na neno, hatua zingine utaacha nafasi kama unavyoona nimeandika hapa).
Ukikwama tafuta msaada kwa binadamu au ingia google.com
 
Back
Top Bottom