Salamu kwa ndugu zangu wote kwenye jamii forum,
mi naitwa Ombeni Nanyaro nipo china ninaomba msaada wenu ndugu zangu nataka kupata data za chuo cha usimamizi wa mahakama lushoto, nina mdogo wangu nataka nimpeleke pale sasa sijui ada yake ni kiasi gani kwa certificate pia namna ya kujiunga nacho utaratibu unakuwaje.
Natanguliza shukrani.
nitaomba kwa mtu yeyote atakae kuwa tayari basi anitumie email custbe@hotmail.com.
pia kama utahitaji msaada wa kujua issue yeyote kuhusu china basi usisite tuwasiliane pia.
asanteni.
Salamu kwa ndugu zangu wote kwenye jamii forum,
mi naitwa Ombeni Nanyaro nipo china ninaomba msaada wenu ndugu zangu nataka kupata data za chuo cha usimamizi wa mahakama lushoto, nina mdogo wangu nataka nimpeleke pale sasa sijui ada yake ni kiasi gani kwa certificate pia namna ya kujiunga nacho utaratibu unakuwaje.
Natanguliza shukrani.
nitaomba kwa mtu yeyote atakae kuwa tayari basi anitumie email custbe@hotmail.com.
pia kama utahitaji msaada wa kujua issue yeyote kuhusu china basi usisite tuwasiliane pia.
asanteni.