jamani ndugu zangu wapendwa kwa wanaokaa Dar. natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tegeta/Namanga/Basihaya.
ndo kwanza nataka kuanza maisha ya kupanga nilikuwa naishi kwa wazazi so naitaji chumba kimija tu.
ASANTENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.