Nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka saba, lakini naona nataka kuyashindwa haya maisha ya ndoa, maana nimekuta msg kwenye simu ya mume wangu ameandikiwa na dada mmoja nanukuu'' mpenzi samahani kwa kukucheleweshea...'' Nilipomuuliza mume wangu akaniambia eti ofisini kwao kuna huyo mdada anamwita kila mtu mpenzi. Pia hata tendo la ndoa uwa anatoa mara mkama mara tatu kwa mwezi.