mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Ndugu wananchi wa JF! kajana wenu mpendwa ninatarajia kwenda kufanya interview kwenye kampuni moja ya simu ofcoz customercare position xaxaa naombeni msaada wa maswali i mean samples kama kuna mtu yeyote mwenye uzoefu wa haya masuala...ili kijana wenu nitakapokua nimesimama wima mbele ya hadhira nisije shikwa na kigugumizi...IN SHORT "ANY ONE FOR HELP>CUSTOMER CARE SAMPLE QUESTIONS<...Thank you very much wote mtakao changia -vely or +vely.