Hivi wakuu inawezekana ku risit mtihani wa kidato cha sita?? Naombeni maelezo ya kina
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
Hgl ana DEE
NACTE wamefungua tena usaili mwisho tar 13 /08Msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu kapata div 3 ya 15 sasa kwa qualification za sasa kakosa nafasi ya kufanya Degree. Mshaurini njia ya kufanya maana naona Nacte washafunga usaili.
Afanye haraka saana..nacte wamefungua tena usaili mwisho tar 13 /08
Msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu kapata div 3 ya 15 sasa kwa qualification za sasa kakosa nafasi ya kufanya Degree. Mshaurini njia ya kufanya maana naona Nacte washafunga usaili.
DEE ni three ya point 14 mkuu,,samahani kama nimekosea.Waliokosa kwenda degree watajiunga na diploma ambapo muda badoHgl ana DEE
mkuu kwa msaada zaid heb jarb kuntext wasap 0659617536 au email mashasimon3@gmail.comKwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure