Msaada: Walioshindwa kupata D mbili wanaenda wapi????

Msaada: Walioshindwa kupata D mbili wanaenda wapi????

Mchumi90

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,102
Reaction score
1,331
Msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu kapata div 3 ya 15 sasa kwa qualification za sasa kakosa nafasi ya kufanya Degree. Mshaurini njia ya kufanya maana naona NACTE washafunga usaili.
 
Kasoma masomo gani advance? Yeye anapenda kusomea nini?
 
Hivi wakuu inawezekana ku risit mtihani wa kidato cha sita?? Naombeni maelezo ya kina
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure

Kuna vya bure bado skuiz?
 
Msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu kapata div 3 ya 15 sasa kwa qualification za sasa kakosa nafasi ya kufanya Degree. Mshaurini njia ya kufanya maana naona Nacte washafunga usaili.
NACTE wamefungua tena usaili mwisho tar 13 /08
 
Nenda china unarudi engineer wa kujiajir kabisa
 
Msaada ndugu zangu, kuna mdogo wangu kapata div 3 ya 15 sasa kwa qualification za sasa kakosa nafasi ya kufanya Degree. Mshaurini njia ya kufanya maana naona Nacte washafunga usaili.

Kwa Babu yao au kwa KAKA YAKE Dar aka reseat mthihani
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .Karibuni huduma inatolewa bure
mkuu kwa msaada zaid heb jarb kuntext wasap 0659617536 au email mashasimon3@gmail.com
 
Back
Top Bottom