Msaada: Walioshindwa kupata D mbili wanaenda wapi????

Msaada: Walioshindwa kupata D mbili wanaenda wapi????

Bado ana nafasi huyo ya diploma yoyote kutokana na comb aliyoisoma kupitia nacte
 
Mi mdogo wangu kapata 3 ya 15 ana DES comb ya CBG sijaelewa anaenda wapi maana NACTE course za afya advanced diploma hazionekani tena na vyuo vya ualimu vya serikali havipo tena?
 
Back
Top Bottom