Muntu Ya Pori
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 222
- 64
Habari zenu wanajf. Mi sina utaalam sana kwenye masuala ya computer, nimepakua bittorrent na nikafanya installation ila sasa jinsi ya kuanza kutumia ndo nimeshindwa kabisa. nataka nipakue movies, ujanja sina. Naomba msaada wenu.