Bei Rahisi Electronics
Senior Member
- Apr 4, 2025
- 197
- 583
Mdogo wangu wa kike kuniuliza ilo swali sitaki nionekane kilaza. "A former East African and current east African community is like a new wine in old bottle, discuss"
Ni former sio fermerA fermer East Africans and current east Africans community is like a new wine in old bottle . discuss
Daah..mkuubado upo kidatoPoint ni zile zile....
-Unclear goals.
-Lack of unity among member states.
-Absence of E.A.C official language.
-New colonialism/ puppet leaders.
-Difference currency.
-Low impact of an accountability force.
😂😂😂
Enzi hizo nilikuwa natunga majibu hatari 😂😂😂
Duuuh kitambo sana zaidi ya miaka 20 imepita.Daah..mkuubado upo kidato
Upo vzr MkuuDuuuh kitambo sana zaidi ya miaka 20 imepita.
Na sio jadiri ni jadiliNi former sio fermer
EAC ya zamani na ya sasa ni sawa na MVINYO mpya kwenye Chupa ya zamani. Jadiri
Maswali ya kindezi kama haya muwe mnaulizana huko kwenye vijiwe vyenu vya gongoMdogo wangu wa kike kuniuliza ilo swali sitaki nionekane kilaza. "A former East African and current east African community is like a new wine in old bottle, discuss"
Popoa zile zile unazojua, refer na sasa...Mdogo wangu wa kike kuniuliza ilo swali sitaki nionekane kilaza. "A former East African and current east African community is like a new wine in old bottle, discuss"