Msaada wakuu....

Msaada wakuu....

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Habari wakuu,
Kiukweli kutokana na mambo ya majukumu ya kazi etc kidogo nimekua outdated na haya mambo ya out dates etc. kama nahitaji ugimbi basi natafuta tu baa iliyokaa kiustaraab nashuka zangu eagle au balimi au kitoko basi fresh. Anyways kwa wale wakazo wa dsm, whats the best place to take a person out for lunch? Back in days hadi breakpoint posta, piccolo, maryland, rose garden palikua na heshima zake lakini kwa sasa nipo kama danny glover kwenye lethal weapon na msemo wake “i’m too old for this shit”
 
Msaafa unaohitaji hapa ni kujuzwa chimbo?
 
Kama upo maeneo ya karibu na sinza au mwenge mpeleke mlimani city kuna sehem nyingi pale nje tulivu kwa lunch kama unataka kwenda mbali mpeleke ledger plaza kunduchi...
 
Kama upo maeneo ya karibu na sinza au mwenge mpeleke mlimani city kuna sehem nyingi pale nje tulivu kwa lunch kama unataka kwenda mbali mpeleke ledger plaza kunduchi...

Mkuu kwa nje unasemea ddc mlimani park au pale kwenye kitimoto maeneo ya lufungila? Kule mshakaa mkuu tell me more about hapo ledger plaza
 
Back
Top Bottom