St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,639
- 4,527
- Thread starter
-
- #101
Kama ni wale wadada wa Joly Club na mitaa ya namna hiyo itabidi aachie dau lake na labda amlipe fidia ili amwache akatafute riziki. Kwa mwendo wa namna hiyo changu lazime apate hasara ya mwaka!!
Babu hizi hujawahi kuniadithia inabidi ufanye hivo kabla hujazeeka zaidi babu!! Halafu karibu chai!!
hilo ni tatizo.....sio afya...
Hii itakuwa promo, si ajabu umeshapata meseji mbili tatu kwenye PM toka kwa wadada! What a smart move! !
1000000000000000%
Wewe ndio JF Member of my Valentine Day
:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
Mkuu hilo la nusu saa mpaka 45 mins ni another story lakini...
Hili usimchoshe mwenza wako mnaweza mkaongeza muda wa foreplay akuchezee wewe mpaka uwe ready kabisa na yeye hii itamfanya awe ready....am sure hii itasaidia sana ku-avoid michubuko na maumivu....
Thanks and Happy Valentine Mkuu
Da,siku zote nimekuwa nikitafuta mtu wa aina yako na nashukuru umepatikana.nitafurahi ukiniPm maana mie hizo dakika hazinipi shida na kamwe sitokuwa na malalamiko.
Ni hivi mzee!yawezekana ulikuwa unafanya sana punyeto ndio maana hali kama hiyo ikajijenga.na kamwe haiwezi kupotea katika mazingira ya kawaida.ukweli hali ya kwenda dakika nyingi kama hizo huwa inamkera sana mtoto wa kike kwani raha ya mapenzi ni kuridhishana na sio kukomoana.
USHAURI wangu.
Tafuta mdada ambaye utamwamini na kupima ngoma ili uanze tiba ninayokushauri nyote mkiwa wazima kuepusha mengine.Jenga ukaribu na huyu mdada wa kuhakikisha unafanya nae mapenzi kavu mara nne au zaidi kwa wiki.pia katika hili,hakikisha unaenda raundi moja tu.fanya hivi kwa muda wa wiki tatu mfululizo then anza taratibu kupunguza siku moja na uwe unafanya kwa siku tatu kwa wiki mabao mawili kila mchezo.endelea kupunguza taratibu hadi mabao matatu kwa kila mechi mara mbili kwa wiki.then endelea kawaida kwa jinsi utakavyojisikia kwani mwili wako utarudi katika hali ya kawaida.
N:B epuka kufanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti kwani inaweza kukukata stimu katika tiba yako hii.all in al usisahau kuniPM yakhe!
oppps nimekosa neno hapa,30 to 45 min ?
Mara umeshaahirisha kumpeleka lab..
Nitakusimulia mimi maana nzijua zooote....
Sina mashaka na hilo kabisa,karibu chai! Halafu usichelewe lab!! Umesikia eeh!!
Lab lazima madam T, nilikuwa najaribu kumchimba babu nipate hekima na uzoevu zaidi juu ya hili tatizo. Ili hata nitakopotoa tiba nizidishe ufundi na maujuzi zaidi!!! Na wewe unataka kuja!!!
Mpleleke bwana, LD nashukuru sana kwa mwaliko, nitakuja nichukue huo ujuzi ili nikikutana na wengine wenye tatizo kama hilo niwasaidie nikupunguzie msongamano wa madenti
Nashindwa kuelewa kinachowafanya msiamini na kuona hii ni stori ya kufikirika,hamuoni kuwa kuna members wengine nao wanajitokeza wenye hali kama yangu?Mkubali tu kuwa binadamu tumeumbwa tofauti,na hatuwezi kufanana na nimeamua kuwa open ili niweze kusaidiwa lakini naona hili si tatizo kama ninavyofikiria.