Msaada wakuu... Orange white screen

Msaada wakuu... Orange white screen

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,402
Reaction score
54,846
Wasalam
Wakuu naombeni msaada najua kuna wataalamu humu maana mimi nimehangaika weeeh mpaka YouTube mpaka sasa nimekula tutorial kama 3 ila wapi sijatoboa
Screen nikiwasha inaanza kama kawaida ita leta hp pale na notification zingine za kawaida..

Inapofika state ya ku start inaleta orange screen namna hiyo hapo chini.

Mashine mpya haina hata miezi..
Je nirudishe au naweza solve hili suala bila kurudisha..?

Screen inakua hvo
IMG_20250630_001825.jpg
 
Angalia cable, chomoa chomeka tena kwanza tuone
VGA nimechomoa nimeweka tena..
Nimechange monitor

Nimeaweka CPU nyingine kwa hii monitor mzigo upo fresh

Yaan ishu ni CPU hii about hzi connection zote zipo oky mkuu..

Na ukiwasha inaanza kuwaka vzri tu na maneno yanakuja yale ya click esc sijui f1 as normal ila baada ya hapo kile ki window icon hakiji
 
VGA nimechomoa nimeweka tena..
Nimechange monitor

Nimeaweka CPU nyingine kwa hii monitor mzigo upo fresh

Yaan ishu ni CPU hii about hzi connection zote zipo oky mkuu..

Na ukiwasha inaanza kuwaka vzri tu na maneno yanakuja yale ya click esc sijui f1 as normal ila baada ya hapo kile ki window icon hakiji
Kwahiyo sasa hivi unatumia CPU nyingine sio
 
Back
Top Bottom