SAMBALI
Member
- Jan 26, 2017
- 9
- 0
Nimeamua kupostpone masomo baada ya kukosa mkopo nilikua nikisoma NIT bachelor degree in information technology.
Niko tayari kufanya kazi yoyote mkoani Morogoro. Hivyo nahitaji msaada wenu wakuu maana maisha ni magumu sana.
Kwa anae hitàji anaweza nipata kwa contact no.
0678058876
Nawasilisha kwenu wakuu.
Ahsanteni
Niko tayari kufanya kazi yoyote mkoani Morogoro. Hivyo nahitaji msaada wenu wakuu maana maisha ni magumu sana.
Kwa anae hitàji anaweza nipata kwa contact no.
0678058876
Nawasilisha kwenu wakuu.
Ahsanteni