CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,074
Kuna mdau hapo juu anatafuta nikaona nikutafute
hahahaa, ngoja nimcheki tufanye "biz"!
Kuna mdau hapo juu anatafuta nikaona nikutafute
hayo maji yanalindwa na majoka makubwa ni bora ukalime maana cjawahi ckia mtu ambaye amefanikiwa.
hahahaa, ngoja nimcheki tufanye "biz"!
utapigwa hela nyingi sana mkuu,kimbia fasta.
Nalog off
5% usinisahau mkuu
hiyo inatafutwa ili ikoshwe hela(dola chafu) na hapo ndipo wapopo watamuacha kwenye mataa.hahahaa, kwa nini apigwe pesa aisee, mbona mercury inauzwa kwenye maduka ya vifaa vya maabara!!!
Kwa dar nadhani maduka ya vifaa vya maabara ila ukienda huko kanda ya ziwa hasa naeneo ya kuchimba dhahabu inauzwa kwa wingi sana. Kama uko mikoa ya kati unaweza kwa urahisi ukienda nzega,jaribu hayo maeneo.[/uryQUOTE]
huyo mtaka mercury aende morogoro mzinga jeshini atauziwaa huko watu wote wanaitoa huko
Habari yako. Ntapata wapi mecyur nnashida nayo. Naomba mawasiliano yako kama unafaham inapopatikana.nenda kwenye mahospital makubwa utaipata kiulaini kabisa ila 1ltr ni laki moja ya dili hiyo.