Msaada wakuu, nahisi kama nimekutana na mapepo wachafu

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,058
2,194
Last weekend nilikuja moshi kumsalimia bibi angu maeneo ya himo..sasa nikawa nimekwenda pia kumsalimia rafiki angu flan anaekaa ng'ambo kidogo ya mji wa himo,yani ni unavuka daraja flan hivi then ndo unafika huko kwa akina huyo rafiki angu..sasa wakati narudi himo kutoka kumcheck huyu rafiki angu nikaona nipite njia ya short cut ampabo ni unavuka mto tu then unakua ushafika ng'ambo ya pili..ilikua ni jana saa 7 na dakika kadhaa..

Wakati navuka pale mtoni kuna miti mingi sana na mikubwa ila na kwa kweli sikuona mtu mwingine pale mtoni anaevuka zaidi yangu..nilkasikia nywele pamoja na mwili vimenisisimka vyote kwa pamoja afu nikasikia harufu ya manukato..nikajaribu kuangalia kulia na kushoto ila sikuona mtu..nikatimua mbio hadi home kwa bibi..mpaka sasa hakuna madhara yaliyojitokeza kwenye mwili wangu ila nilivomueleza bibi amenilaumu kwa kupita njia hiyo ingawa hajaniambia sababu za kutotaka mie kupita njia ile..

Je wakuu hiyo hali ni ya kawaida au ndio kusema nimekutana na mapepo..na je hayatakua yamenidhuru bila mimi kujijua kweli?
 
Ulipita ukiwa na hofu tu hakuna kingine.

Mwili na akili yako wakati mwingine unaweza kukuchezea tu.

Hujawahi kuota umeokota mapesa mengi. Au kuhisi ghafla Mtu anakufuata nyuma na isiwe kweli.

Sometime miili yetu ni kama gari, linaweza kugoma ukafikiri injini ina tatizo kumbe waya wa terminal kwenye betri umelegea.
 
Ulipita ukiwa na hofu tu hakuna kingine.

Mwili na akili yako wakati mwingine unaweza kukuchezea tu.

Hujawahi kuota umeokota mapesa mengi. Au kuhisi ghafla Mtu anakufuata nyuma na isiwe kweli.

Sometime miili yetu ni kama gari, linaweza kugoma ukafikiri injini ina tatizo kumbe waya wa terminal kwenye betri umelegea.
Utoto tu
 
Ulipita ukiwa na hofu tu hakuna kingine.

Mwili na akili yako wakati mwingine unaweza kukuchezea tu.

Hujawahi kuota umeokota mapesa mengi. Au kuhisi ghafla Mtu anakufuata nyuma na isiwe kweli.

Sometime miili yetu ni kama gari, linaweza kugoma ukafikiri injini ina tatizo kumbe waya wa terminal kwenye betri umelegea.
 
Last weekend nilikuja moshi kumsalimia bibi angu maeneo ya himo..sasa nikawa nimekwenda pia kumsalimia rafiki angu flan anaekaa ng'ambo kidogo ya mji wa himo,yani ni unavuka daraja flan hivi then ndo unafika huko kwa akina huyo rafiki angu..sasa wakati narudi himo kutoka kumcheck huyu rafiki angu nikaona nipite njia ya short cut ampabo ni unavuka mto tu then unakua ushafika ng'ambo ya pili..ilikua ni jana saa 7 na dakika kadhaa..

Wakati navuka pale mtoni kuna miti mingi sana na mikubwa ila na kwa kweli sikuona mtu mwingine pale mtoni anaevuka zaidi yangu..nilkasikia nywele pamoja na mwili vimenisisimka vyote kwa pamoja afu nikasikia harufu ya manukato..nikajaribu kuangalia kulia na kushoto ila sikuona mtu..nikatimua mbio hadi home kwa bibi..mpaka sasa hakuna madhara yaliyojitokeza kwenye mwili wangu ila nilivomueleza bibi amenilaumu kwa kupita njia hiyo ingawa hajaniambia sababu za kutotaka mie kupita njia ile..

Je wakuu hiyo hali ni ya kawaida au ndio kusema nimekutana na mapepo..na je hayatakua yamenidhuru bila mimi kujijua kweli?
Pole sana hapo ulipo pita kwa huo wakati kulikuwa na mpepo nao wanapita njia zao sasa umekutana nao na walikuwa hawana nia ya kukudhuru ndio maana bibi yako akakulaumu na hakukwambia kitu hawaja kudhuru uoga wako wa kukimbia ndio uliokusaidia ondosha wasiwasi usipende kupita hiyo sehemu saa7 iwe mchana au usiku peke yako jaribu kupita na wenzako hujadhurika una bahati sana.
 
Pole sana hapo ulipo pita kwa huo wakati kulikuwa na mpepo nao wanapita njia zao sasa umekutana nao na walikuwa hawana nia ya kukudhuru ndio maana bibi yako akakulaumu na hakukwambia kitu hawaja kudhuru uoga wako wa kukimbia ndio uliokusaidia ondosha wasiwasi usipende kupita hiyo sehemu saa7 iwe mchana au usiku peke yako jaribu kupita na wenzako hujadhurika una bahati sana.
asante sana mkuu
 
Ulipita ukiwa na hofu tu hakuna kingine.

Mwili na akili yako wakati mwingine unaweza kukuchezea tu.

Hujawahi kuota umeokota mapesa mengi. Au kuhisi ghafla Mtu anakufuata nyuma na isiwe kweli.

Sometime miili yetu ni kama gari, linaweza kugoma ukafikiri injini ina tatizo kumbe waya wa terminal kwenye betri umelegea.
sikua na hofu mkuu..maana ni njia iliyozoeleka kupitwa na watu wengi
 
Wewe jamaa labda kama hujakulia kijijini. Kwa vijijini kuna sehemu wenyeji tukikatiza lazima yatokee hayo iwe mchana au usiku.

Kwa mfano sehemu yenye miti iliyotengeneza kichaka half alone lazima mwili usisimke, siyo kwa sababu kuna majini la hasha ,ila ni kwakua mentality iko hivyo.

Au unajua sehem kuna kaburi au makaburi, unakatiza usiku alone lazima usisimke. Naamini kama ulikulia huko himo basi walitambua hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom